Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUMPIGIE DEBE, TUMCHAGUE KIONGOZI YUPI?

Rais Jakaya Mrisho Kikwete. MWAKA umeshakomaa, tofauti na ilivyokuwa wiki chache zilizopita, wakati tulipokuwa tunarukaruka kusherehekea siku ya mwisho ya Mwaka 2014. Leo hii, hakuna tena anayezungumzia upya wa mwaka, isipokuwa, linapokuja suala la siasa, kila mmoja anajadili kuhusu uchaguzi mkuu. Kuna msuguano mkali miongoni mwa wanaotajwa kuwania nafasi hiyo, hasa kutoka chama tawala. Kila mmoja ana wafuasi wake,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

9 years ago

StarTV

Ukosefu Soko La Vitunguu Swaumu lasababisha Debe mbili kuthamanishwa kwa debe moja

Ukosefu wa soko la uhakika la Vitunguu Swaumu umesababisha wakulima wa zao hilo kuingia hasara baada ya wanunuzi kuwataka wauze debe mbili kwa malipo ya debe moja.

Wakulima wa Vitunguu Swaumu katika eneo la Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa wamesema changamoto hiyo inawakwamisha kutokana na kilimo hicho kutokuwa mkombozi kwao.

Vitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo  ilianza kutumika duniani kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita,  na nchi za awali kabisa kulitumia  zao hili zinatajwa kuwa...

 

10 years ago

GPL

NANI MSAFI TUMCHAGUE CCM?

Waziri mkuu Mizengo Pinda. KELELE kubwa hivi sasa ni juu ya nani atapewa rungu la kuipeperusha bendera ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Kuna msururu wa wanaotaka hadhi hiyo ambao hadi makala haya yanaandikwa, makada 32 walishajitokeza. Hata hivyo, CCM ambayo imekuwa ikiongoza serikali kwa miaka yote tangu Uhuru, baada ya muungano wa vyama vya TANU/ASP, imegubikwa na jinamizi la rushwa, ufisadi, ubinafsi wa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Tumchague mchapakazi Magufuli au huyu mwenye utata wa afya?

NIANZE kwa kuwashukuru mamia ya wasomaji wangu ambao nikiwa huku kijijini kwangu wamekuwa wakiend

Johnson Mbwambo

 

9 years ago

Mtanzania

Dk. Slaa ajichanganya yupi anamlenga

ADAM MKWEPU NA VERONICA ROMWALD

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willbrod Slaa amesema hana haja ya kuwazungumzia viongozi wanaomaliza muda wao madarakani, badala yake anamlenga kiongozi atakayekuwa rais wa nchi kwa miaka mitano ijayo.

Dk. Slaa alisema hayo Dar es Salaam jana katika mahojiano maalum na mwandishi mkongwe, Tido Mhando wa televisheni ya Azam.

Akijibu swali kuhusu kwa nini anamzungumzia tu  mgombea urais wa Chadema anayewakilisha Ukawa,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Msanii yupi atawika 2014?

Mwaka mpya mambo mapya. Je ni msanii gani atawika mwaka huu wa 2014?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani