Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Slaa ajichanganya yupi anamlenga

ADAM MKWEPU NA VERONICA ROMWALD

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willbrod Slaa amesema hana haja ya kuwazungumzia viongozi wanaomaliza muda wao madarakani, badala yake anamlenga kiongozi atakayekuwa rais wa nchi kwa miaka mitano ijayo.

Dk. Slaa alisema hayo Dar es Salaam jana katika mahojiano maalum na mwandishi mkongwe, Tido Mhando wa televisheni ya Azam.

Akijibu swali kuhusu kwa nini anamzungumzia tu  mgombea urais wa Chadema anayewakilisha Ukawa,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kibadeni ajichanganya ushiriki wa Mapinduzi

>Kocha wa Ashanti United, Abdallah Kibadeni  ‘King’  amesema michuano ya Mapinduzi inayoendelea  visiwani hapa imemvurugia ratiba yake.

 

10 years ago

Habarileo

Mtuhumiwa fedha za Escrow ajichanganya

Dk James DiuMKURUGENZI Mdhibiti Uchumi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA), Dk James Diu, amejichanganya mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, kuhusu matumizi halisi ya fedha alizozipokea kutoka kwa James Rugemalira ambazo ni Sh milioni 80.8.

 

11 years ago

GPL

NAPE AJICHANGANYA NA WANANCHI SOKO LA MWANJELWA MBEYA

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akila chakula cha mchana kwenye kibanda cha Mama Lishe anayefahamika kama Bi. Tandiwa Tewete kwenye soko la Sido Mwanjelwa mjini Mbeya.    Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akikatiza katikati ya soko la Sido Mwanjelwa kwenda kwenye…

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Stars ajichanganya kwa Mkude, Kaseke

Kocha wa Taifa Stars, Mart Nooij amejichanganya kwa wachezaji aliowaongeza kikosini mwake akiwataka waongeze juhudi ili waweze kumshawishi aendelee kuwapa nafasi.

 

9 years ago

Vijimambo

MKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA


Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Msanii yupi atawika 2014?

Mwaka mpya mambo mapya. Je ni msanii gani atawika mwaka huu wa 2014?

 

10 years ago

GPL

TUMPIGIE DEBE, TUMCHAGUE KIONGOZI YUPI?

Rais Jakaya Mrisho Kikwete. MWAKA umeshakomaa, tofauti na ilivyokuwa wiki chache zilizopita, wakati tulipokuwa tunarukaruka kusherehekea siku ya mwisho ya Mwaka 2014. Leo hii, hakuna tena anayezungumzia upya wa mwaka, isipokuwa, linapokuja suala la siasa, kila mmoja anajadili kuhusu uchaguzi mkuu. Kuna msuguano mkali miongoni mwa wanaotajwa kuwania nafasi hiyo, hasa kutoka chama tawala. Kila mmoja ana wafuasi wake,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani