Video:JK: Magufuli ni mtu makini na msafi
Rais wa Tanzania Dk Jakaya Kikwete, leo amemnadi mgombe wa urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Pombe Magufuli, kwa kumuelezea kuwa ni mtu makini, msafi na asiyeshindwa
The post Video:JK: Magufuli ni mtu makini na msafi appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo21 Sep
Kimbisa: Chagueni Magufuli, ni msafi
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewaomba Watanzania kumchagua Rais asiye na makundi wala makandokando yoyote ambaye ni mgombea wa CCM, Dk John Magufuli. Kimbisa alisema hayo juzi wakati akizindua kampeni za ubunge katika jimbo la Chilonwa Kata ya Itiso.
9 years ago
Africanjam.ComNEW VIDEO: JOH MAKINI - DON'T BOTHER ft. AKA (Official Video)
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-AD5scAfVNUs/VcuVPmoLEOI/AAAAAAAADRE/Ozuc_FeEUIo/s72-c/jux.jpg)
NEW VIDEO: JUX - LOOKING FOR YOU ft. JOH MAKINI (Official Video)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AD5scAfVNUs/VcuVPmoLEOI/AAAAAAAADRE/Ozuc_FeEUIo/s640/jux.jpg)
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hQByaJoUjY8/Xto6ggttu_I/AAAAAAALssY/lVk9keCegEgwbggbYTlD7qqQP597cqT8QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SITASHANGAA MTU AKIJIITA MAGUFULI AU HATA AKIJIITA FISI NI YEYE MWENYEWE- DK.MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-hQByaJoUjY8/Xto6ggttu_I/AAAAAAALssY/lVk9keCegEgwbggbYTlD7qqQP597cqT8QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli ameendelea kusisitiza kuwa Watanzania wasikubali kupewa msaada wa barakoa na kisha kuzivaa bila kujua zilikotoka kwani hiyo huenda ikawa njia nyingine ya kuingiza Corona nchini.
Amefafanua licha ya kutoa maelekezo na maagizo kwa Wizara ya Afya na kwa viongozi wa mikoa na wilaya ameshudia watu wakipewa barakoa na juzi kwenye taarifa ya habari ameona kuna grupu linajiita...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e-cwUg2PGUfYGyIRiTETVxNFhT9Up5ZnBzXRb4KTvHblQbAGGKpXAUF6ciN4ROQMCDaSDJFTYmQqrbVv3Egiayb/PINDA.jpg?width=650)
NANI MSAFI TUMCHAGUE CCM?
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
CHADEMA: Hakuna kiongozi msafi CCM
CHAMA cha Demorasia na Maendeleo, (CHADEMA), kimesema wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliondoa kipengele cha uadilifu kwenye tunu za taifa kwa sababu walijua watakosa viongozi kwani hakuna aliye msafi....
10 years ago
Bongo519 Dec
New Video: Joh Makini Ft. Gnako — XO
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Dk Magufuli: Sitaogopa mtu yeyote