Dk Magufuli: Sitaogopa mtu yeyote
Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema akichaguliwa kuwa rais, hatamwogopa mtu wala hataacha mtu aonewe, hasa wanyonge.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Jul
Magufuli: Sitaogopa, sitamwonea yeyote
MGOMBEA mteule wa urais kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, Dk John Magufuli na mgombea mwenza wake, Samia Suluhu Hassan jana walipokelewa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam, bila kujali itikadi zao za kisiasa.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-vGB8Id5G-VM/XsZGepP6BbI/AAAAAAAAUSs/j3P4of-HvD43KYSUe2hj_AYahOkWrjCPgCLcBGAsYHQ/s72-c/46260047_303.jpg)
RAIS MAGUFULI: YEYOTE ATAKAYEPOKEA VIFAA VYA KUPAMBANA NA CORONA NA VIKIPIMWA NA KUKUTWA NA VIRUSI HIVYO ASHITAKIWE NA KESI YA MAUAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-vGB8Id5G-VM/XsZGepP6BbI/AAAAAAAAUSs/j3P4of-HvD43KYSUe2hj_AYahOkWrjCPgCLcBGAsYHQ/s400/46260047_303.jpg)
Rais Magufuli ameyabainisha hayo leo Mei 21, 2020, Ikulu ndogo ya Chamwino mkoani Dodoma, mara baada ya kuwaapisha Mabalozi wa nchi mbalimbali , Mkurugenzi wa TAKUKURU na Katibu Tawala Mkoa na kuongeza kuwa vitu vya bure vina...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hQByaJoUjY8/Xto6ggttu_I/AAAAAAALssY/lVk9keCegEgwbggbYTlD7qqQP597cqT8QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SITASHANGAA MTU AKIJIITA MAGUFULI AU HATA AKIJIITA FISI NI YEYE MWENYEWE- DK.MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-hQByaJoUjY8/Xto6ggttu_I/AAAAAAALssY/lVk9keCegEgwbggbYTlD7qqQP597cqT8QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli ameendelea kusisitiza kuwa Watanzania wasikubali kupewa msaada wa barakoa na kisha kuzivaa bila kujua zilikotoka kwani hiyo huenda ikawa njia nyingine ya kuingiza Corona nchini.
Amefafanua licha ya kutoa maelekezo na maagizo kwa Wizara ya Afya na kwa viongozi wa mikoa na wilaya ameshudia watu wakipewa barakoa na juzi kwenye taarifa ya habari ameona kuna grupu linajiita...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Aug
Video:JK: Magufuli ni mtu makini na msafi
Rais wa Tanzania Dk Jakaya Kikwete, leo amemnadi mgombe wa urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Pombe Magufuli, kwa kumuelezea kuwa ni mtu makini, msafi na asiyeshindwa
The post Video:JK: Magufuli ni mtu makini na msafi appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Bongo510 Dec
Sikuwahi kuagiza mtu asameweke kodi, msinilamu, mwacheni Magufuli awanyooshe – Kikwete
![London, 11th July 2012. London Summit on Family Planning](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/7557050278_998fcb8d94_o-300x194.jpg)
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete amelazimia kutumia mtandao wa Twitter kujibu tuhuma zinazosambaa kuwa katika uongozi wake aliagiza kusamehewa kodi kwa baadhi ya wafanyabiashara.
![London, 11th July 2012. London Summit on Family Planning](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/7557050278_998fcb8d94_o.jpg)
London, 11th July 2012. London Summit on Family Planning
Hiki ndicho alichoakiandika:
Wako watu katika vyombo vya habari na mitandao wanajaribu kunihusisha na ukwepaji wa kodi. Nataka kuwaambia, wanapoteza wakati wao bure.
Tumeongeza ukusanyaji wa mapato kutoka shilingi bilioni 177 mpaka shilingi bilioni 900...
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Shule za DC Makonda? Prof. Lipumba na Rais Magufuli? Padri kuzaa na mke wa mtu? Madini gerezani? #StoriKUBWA
Kwenye stori kubwa December 31 2015 ziko na hizi zilizoguswa na uchambuzi wa redioni kama ulipitwa. Mgonjwa aliyelipiwa gharama za matibabu na Rais Magufuli hospitali ya Muhimbili agoma kutoka baada ya kuruhusiwa, gereza la Songwe liko kwenye mchakato wa kuvunjwa baada ya kugundulika kuwepo madini chini yake. Mtu mmoja ajinyonga Kenya huku akiacha ujumbe kuwa […]
The post Shule za DC Makonda? Prof. Lipumba na Rais Magufuli? Padri kuzaa na mke wa mtu? Madini gerezani? #StoriKUBWA appeared...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7l-wHj5OnnlF5cRYGvWkpSl4m9PC1BWWJURUBuG7NCe3C-dWORDwz6afU38SaEyBzCNWgziybt560lUa1j5zMqi/MYGODZ.jpg)
MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU
9 years ago
Bongo522 Oct
Music: Mtu Chee Ft Jux,Deddy — Mtu Tatu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wM7OFxLc22Y/XqgL4-zzbbI/AAAAAAALodo/6XGxxxocihg8etLPcg17VV-hzpBc-NOFACLcBGAsYHQ/s72-c/6-660x400.jpg)
MHADHIRI CHUO KIKUU ASEMA NI VIGUMU SANA KWA MAZINGIRA YA SASA KUZUNGUMZIA MTU ANAYEWEZA AKASIMAMA AKAWA BORA KULIKO RAIS MAGUFULI...
Akizungumzia kuhusu utendaji kazi wa Rais Dk.Magufuli ,Dk.Sebahene amefafanua kuwa ni vigumu kwa sababu wananchi wameona matokeo chanya ya jitihada za Serikali hii ya Awamu ya Tano na kusisitiza kuna jitihada kubwa sana na mambo yanayoonekana ndio ambayo Mtanzania anataka kuyazingatia...