Magufuli: Sitaogopa, sitamwonea yeyote
MGOMBEA mteule wa urais kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, Dk John Magufuli na mgombea mwenza wake, Samia Suluhu Hassan jana walipokelewa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam, bila kujali itikadi zao za kisiasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Dk Magufuli: Sitaogopa mtu yeyote
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-vGB8Id5G-VM/XsZGepP6BbI/AAAAAAAAUSs/j3P4of-HvD43KYSUe2hj_AYahOkWrjCPgCLcBGAsYHQ/s72-c/46260047_303.jpg)
RAIS MAGUFULI: YEYOTE ATAKAYEPOKEA VIFAA VYA KUPAMBANA NA CORONA NA VIKIPIMWA NA KUKUTWA NA VIRUSI HIVYO ASHITAKIWE NA KESI YA MAUAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-vGB8Id5G-VM/XsZGepP6BbI/AAAAAAAAUSs/j3P4of-HvD43KYSUe2hj_AYahOkWrjCPgCLcBGAsYHQ/s400/46260047_303.jpg)
Rais Magufuli ameyabainisha hayo leo Mei 21, 2020, Ikulu ndogo ya Chamwino mkoani Dodoma, mara baada ya kuwaapisha Mabalozi wa nchi mbalimbali , Mkurugenzi wa TAKUKURU na Katibu Tawala Mkoa na kuongeza kuwa vitu vya bure vina...
9 years ago
Mwananchi20 Oct
JK: Miaka 10 inamtosha yeyote Ikulu
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Dk Mwakyembe: Sitamvumilia yeyote TRL
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema hatomvumilia kiongozi yeyote wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), atakayetajwa na kamati ndogo iliyoundwa kuchunguza ufisadi ndani ya kampuni hiyo. Dk Mwakyembe aliteua...
10 years ago
Habarileo16 Jun
Wassira: Nitamuunga mkono yeyote wa CCM
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wassira amesema yupo tayari kumuunga mkono mgombea yeyote atakayeteuliwa na CCM kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu, endapo nafasi hiyo haitaangukia mikononi mwake.
9 years ago
Habarileo31 Dec
Serikali yaahidi kutomwonea mfanyabiashara yeyote
SERIKALI imesema haina nia ya kuonea wafanyabiashara, lakini ikaonya itachukua hatua kali za kisheria kwa mawakala wa forodha wasio waaminifu na watakaokiuka taratibu.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Kagame: Tutamshughulikia yeyote anayeisaliti Rwanda
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KkxqEnBJGWD8KQhvyXbZnjAf7WMHIE95fjgP9oF8Lv2iSa-e2sZ4OYGBYEL7uWtrSe23ZZKerJ*80r1d2ARz1XGub6RRj9X-/rose.jpg)
ROSE NDAUKA: NIPO TAYARI KUOLEWA NA YEYOTE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-Sp2NFtWZ8ybDM5KVu9d1ag4WrSq01o3icNkLxiB9JiVlWgmIJeepbaxeQXI1ygVKrEtA7pmRpw1fOiCE6G6vse/WEMASEPPETU.jpg?width=650)
WEMA:STAA YEYOTE NAWEZA KUTOKA NAYE