Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Mwakyembe: Sitamvumilia yeyote TRL

WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema hatomvumilia kiongozi yeyote wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), atakayetajwa na kamati ndogo iliyoundwa kuchunguza ufisadi ndani ya kampuni hiyo. Dk Mwakyembe aliteua...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mwakyembe asimamisha sita TRL

WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harisson Mwakyembe, amewasimamisha kazi wafanyakazi zaidi ya sita wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), akiwemo Kaimu Mkurugenzi, Pascal Mafikiri, kwa kuhusika katika uagizaji wa mabehewa mapya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwakyembe aapa kuwawajibisha TRL

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameahidi kuichukulia hatua kali za kisheria na kinidhamu bodi ya zabuni ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) baada ya kubainika ukiukwaji wa taratibu za manunuzi ya mabehewa ya kubebea kokoto.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Mwakyembe aanza fagiafagia TRL

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameagiza kung’olewa kwa baadhi ya vigogo wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) ambao wanatuhumiwa kuhusika katika mchakato wa ununuzi wa mabehewa ya kusafirisha kokoto kutoka India, ambayo yalibainika kuwa mabovu.

 

10 years ago

Habarileo

Mwakyembe akabidhiwa ripoti ya ‘madudu’ TRL

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison MwakyembeKAMATI ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) iliyoundwa na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe imekabidhi ripoti ya uchunguzi iliyofanya huku ikitoa mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa ili kampuni hiyo irudi katika hali yake.

 

10 years ago

Mwananchi

JK: Miaka 10 inamtosha yeyote Ikulu

Rais Jakaya Kikwete amesema kuwa miaka 10 inatosha kwa kiongozi kukaa Ikulu na kuwataka watumishi kumsaidia mrithi wake atakayechaguliwa katika Uchaguzi Mkuu Jumapili ijayo kwa ari zaidi ili kuchochea maendeleo ya taifa na kulifanya kuwa la kipato cha kati ifikapo mwaka 2025.

 

10 years ago

Habarileo

Magufuli: Sitaogopa, sitamwonea yeyote

Mgombea mteule wa urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli.(Picha na Yusuf Badi)MGOMBEA mteule wa urais kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, Dk John Magufuli na mgombea mwenza wake, Samia Suluhu Hassan jana walipokelewa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam, bila kujali itikadi zao za kisiasa.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli: Sitaogopa mtu yeyote

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema akichaguliwa kuwa rais, hatamwogopa mtu wala hataacha mtu aonewe, hasa wanyonge.

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yaahidi kutomwonea mfanyabiashara yeyote

SERIKALI imesema haina nia ya kuonea wafanyabiashara, lakini ikaonya itachukua hatua kali za kisheria kwa mawakala wa forodha wasio waaminifu na watakaokiuka taratibu.

 

10 years ago

Habarileo

Wassira: Nitamuunga mkono yeyote wa CCM

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen WassiraWAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wassira amesema yupo tayari kumuunga mkono mgombea yeyote atakayeteuliwa na CCM kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu, endapo nafasi hiyo haitaangukia mikononi mwake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani