Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Mwakyembe aanza fagiafagia TRL

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameagiza kung’olewa kwa baadhi ya vigogo wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) ambao wanatuhumiwa kuhusika katika mchakato wa ununuzi wa mabehewa ya kusafirisha kokoto kutoka India, ambayo yalibainika kuwa mabovu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mwakyembe asimamisha sita TRL

WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harisson Mwakyembe, amewasimamisha kazi wafanyakazi zaidi ya sita wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), akiwemo Kaimu Mkurugenzi, Pascal Mafikiri, kwa kuhusika katika uagizaji wa mabehewa mapya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwakyembe aapa kuwawajibisha TRL

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameahidi kuichukulia hatua kali za kisheria na kinidhamu bodi ya zabuni ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) baada ya kubainika ukiukwaji wa taratibu za manunuzi ya mabehewa ya kubebea kokoto.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk Mwakyembe: Sitamvumilia yeyote TRL

WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema hatomvumilia kiongozi yeyote wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), atakayetajwa na kamati ndogo iliyoundwa kuchunguza ufisadi ndani ya kampuni hiyo. Dk Mwakyembe aliteua...

 

10 years ago

Habarileo

Mwakyembe akabidhiwa ripoti ya ‘madudu’ TRL

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison MwakyembeKAMATI ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) iliyoundwa na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe imekabidhi ripoti ya uchunguzi iliyofanya huku ikitoa mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa ili kampuni hiyo irudi katika hali yake.

 

9 years ago

Mwananchi

Katibu mkuu aanza kazi kwa mgomo TRL

Katibu Mkuu wa Uchukuzi, Dk Leonard Chamuliho ameingia ofisini kwa mara ya kwanza jana na kukabiliana na mgomo wa wafanyakazi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) wanaoshinikiza kulipwa stahiki zao.

 

10 years ago

TheCitizen

TRL gets 50 wagons

The Tanzania Railways Limited (TRL) yesterday received 50 wagons worth Sh8.3 billion from an Indian company.

 

10 years ago

TheCitizen

How we can save TRL: workers

Tanzania Railway Limited (TRL) workers have suggested various measures that should be taken to help the company overcome the Sh2 billion loss that it has been posting every month which could cripple the company altogether.

 

10 years ago

Daily News

Five TRL officials suspended


spyghana.com
Five TRL officials suspended
Daily News
FIVE Tanzania Railway Limited (TRL) top officials including the Managing Director, Mr Kipallo Kisamfu, have been suspended indefinitely over alleged dishonesty in a 230bn/- wagon deal. Other officials suspended are the Chief Mechanical Engineer, ...
Tanzania's top railway firm officials suspended over defective wagonsspyghana.com

all 3

 

10 years ago

TheCitizen

Verdict on TRL scam out soon

The Tanzania Railway Limited (TRL) board will this month determine the fate of six senior officials who were suspended last December.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani