Mwakyembe asimamisha sita TRL
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harisson Mwakyembe, amewasimamisha kazi wafanyakazi zaidi ya sita wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), akiwemo Kaimu Mkurugenzi, Pascal Mafikiri, kwa kuhusika katika uagizaji wa mabehewa mapya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania17 Apr
Sitta asimamisha vigogo watano TRL
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta, amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), Kipallo Kisamfu na wengine wanne ili kupisha uchunguzi wa kashfa ya uingizaji wa mabehewa feki ya mizigo yaliyoigharimu Serikali Sh bilioni 230.
Viongozi wengine waliosimamishwa ni Mkuu wa Mitandao, Ngosomwile Ngosomiles, Mhasibu Mkuu, Mbaraka Mchopa, Mkaguzi Mkuu wa Ndani, Jasper Kisiranga na Meneja Mkuu wa Manunuzi, Ferdinand Soka.
Alitangaza uamuzi...
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Mwakyembe aapa kuwawajibisha TRL
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Dk Mwakyembe: Sitamvumilia yeyote TRL
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema hatomvumilia kiongozi yeyote wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), atakayetajwa na kamati ndogo iliyoundwa kuchunguza ufisadi ndani ya kampuni hiyo. Dk Mwakyembe aliteua...
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Dk Mwakyembe aanza fagiafagia TRL
10 years ago
Habarileo02 Dec
Mwakyembe akabidhiwa ripoti ya ‘madudu’ TRL
KAMATI ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) iliyoundwa na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe imekabidhi ripoti ya uchunguzi iliyofanya huku ikitoa mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa ili kampuni hiyo irudi katika hali yake.
10 years ago
Habarileo09 Jan
RC asimamisha vigogo 7 Mkinga
MKUU wa mkoa wa Tanga, Magalula Said Magalula amewasimamisha kazi kwa muda usiojulikana watumishi saba wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga, ambao ni wakuu wa Idara na Vitengo.
10 years ago
MichuziLigi Daraja la Pili kuanza Oktoba 7, kuchezwa makundi manne ya timu sita sita nyumbani na ugenini
Timu itakayoongoza kundi itacheza Ligi Daraja la Kwanza (FDL) msimu wa 2016/2017 wakati ya mwisho katika kila kundi itarudi kucheza Ligi ya Mkoa wake kwa msimu wa 2016/2017. Makundi ya SDL ni kama ifuatavyo; Kundi A ni...
10 years ago
Habarileo19 Oct
Mwanafunzi wa darasa la sita abakwa na watu sita
MWANAFUNZI wa darasa la sita mwenye umri wa miaka 13 wa shule ya msingi ya Themi iliyopo jijini Arusha mkoani Arusha hali yake siyo nzuri baada ya kunajisiwa na watu sita.
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Meya asimamisha ujenzi wa ghorofa