Meya asimamisha ujenzi wa ghorofa
Ujenzi wa ghorofa uliokuwa unaendelea mkabala na Benki ya NMB mjini Shinyanga, umesimamishwa kutokana na kudaiwa kujengwa chini ya kiwango.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo21 Feb
MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SLAA ASIMAMISHA UJENZI WA MAJENGO KWA KUKIUKA MICHORO YA UJENZI
![](http://api.ning.com/files/JaaIjingYwJrtLdU8mVbQzt8qBfiV6JNL8Ux5L2VctAjUDdkNhba*ZDWr1T4WJxwcDpxiCCa4-bIiSNIJGBw*zdRppwYuVQi/001.JP.jpg)
![](http://api.ning.com/files/JaaIjingYwLuBpzGC6LXmmre3AjrP*bmio6ZX9mz3SE6zAjIgy9NBwM5o-9kPGOc7*1lqkekSuT45UfLDjVmk1YAI*wcrmxJ/004.JP.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BxL9MT2WWjY/VOhcTmCX4YI/AAAAAAAHE6Y/0odTJD7icjQ/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SLAA ASIMAMISHA UJENZI WA MAJENGO YALIYOPO MAKUTANO YA AGGREY & INDRAGADHI KWA KUKIUKA MICHORO YA UJENZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-BxL9MT2WWjY/VOhcTmCX4YI/AAAAAAAHE6Y/0odTJD7icjQ/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PLubW2FY7fY/VOhcTsFXLYI/AAAAAAAHE6c/ny2Wpwh5mCI/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
Meya Jerry Silaa asimamisha ujenzi wa majengo Ilala
Mstahiki Meya wa Meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (mwenye miwani) akiambatana na viongozi wenzake wametembelea na kupima uzio wa mabati unaowekwa na wakandarasi wengi bila kulipiwa vibali,kulipiwa vibali kiwango kidogo kwa kuchakachua vipimo na kutovilipia kila mwaka.
Mkuu wa kitengo cha mazingira wa manispaa ya Ilala Themi Luther (katikati) akimpatia maelekezo .Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa (kushoto) kuhusiana na usanifu wa jengo kwenye makutano ya mitaa ya Aggrey na...
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif asimamisha ujenzi wa nyumba ya ghorofa mjini Unguja, Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-0nuV9SbdKiE/VmlorIz03FI/AAAAAAABqQ0/DFgD6fOieeA/s640/IMG_9802.jpg)
Balozi Seif akipokea malalamiko ya Wakaazi wa Mtaa wa Mlandege wakimshutumu Mmiliki wa Kiwanja cha jengo la Ghorofa Bwana Anuari Abdulla anayejenga pamoja na eneo la wazi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z0emXn-nKP8/VmloqRi39GI/AAAAAAABqQs/DyEiHs_q1pc/s640/IMG_9805.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwasili mtaa wa Mlandege kukagua kiwanja cha nyumba ya Ghorofa kinacholalamikiwa na Wakaazi wa Mtaa huo kwamba kimevamia pia eneo la wazi linalotumika kwa shughuli za Kijamii.
![](http://3.bp.blogspot.com/-0oT66RidQow/VmlorIgM87I/AAAAAAABqQw/TcMtR1tGsmc/s640/IMG_9808.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ey1aJLw5_tk/VmlovowkR_I/AAAAAAABqRE/vcjf3f24OLg/s640/IMG_9812.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-arNSaVzHaek/Vmlo1OkrwsI/AAAAAAABqRU/tNe2AoFEegc/s640/IMG_9818.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwasili mtaa wa Mlandege kukagua kiwanja...
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Lukuvi asimamisha ujenzi mji mpya Kigamboni
Na Grace Shitundu, Dar es Salaam
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi, amesitisha kuanza kwa mradi wa mji mpya Kigamboni hadi pale mikataba itakapopitiwa upya.
Pamoja na hali hiyo Lukuvi, amewataka wananchi wa maeneo hayo kutouza ardhi yao kwa sasa.
Ahadi ya hiyo aliitoa jana katika mkutano na wananchi wa Kigamboni baada ya kutokea kutoelewa baina ya aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Profesa Anna Tibaijuka na wananchi kuhusu ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni.
Kutokana na hali...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Ujenzi wa ghorofa wasitishwa
UONGOZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, umezuia ujenzi wa jengo la ghorofa linalojengwa mkabala na Benki ya NMB kutokana na kuwa na nyufa kwenye kuta na nguzo zake. Zuio...
10 years ago
Habarileo30 Sep
Teknolojia mpya ujenzi wa ghorofa yaja
WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) una mpango wa kutumia teknolojia mpya ya kujenga nyumba ya ghorofa kwa siku moja lengo likiwa ni kuisaidia Serikali katika kupunguza uhitaji wa nyumba pamoja na kupunguza gharama za ujenzi.
10 years ago
Habarileo08 Jun
Kinana atahadharisha ujenzi soko la ghorofa
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amehadharisha Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba dhidi ya mpango wake wa kujenga soko la ghorofa kwa kuitaka ijifunze kilichoikumba Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam baada ya kujenga soko la Machinga Complex .
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AF48Ls5znROBM*BlRZchdgnBLSFkmpCwyGG5YMBrPedPA2Kr1YftllCI-Hw588RUNTvmkhzkIh-UwTSxbIF177RDNWNMZRiC/11.jpg?width=650)
UJENZI WA GHOROFA WAPIGWA MARUFUKU KWA VILE LIMEONEKANA KUPINDA