Teknolojia mpya ujenzi wa ghorofa yaja
WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) una mpango wa kutumia teknolojia mpya ya kujenga nyumba ya ghorofa kwa siku moja lengo likiwa ni kuisaidia Serikali katika kupunguza uhitaji wa nyumba pamoja na kupunguza gharama za ujenzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z2Umln1x9QM/XlEZRl8RboI/AAAAAAAEFJ8/XHjm5f6zf4s4FJ5w_Q01BOZWSxwoJ4W3gCLcBGAsYHQ/s72-c/pic3.jpg)
ALAF Limited yaja na Teknolojia mpya ya ujenzi wa kisasa wa gharama nafuu SAFBUILD
![](https://1.bp.blogspot.com/-z2Umln1x9QM/XlEZRl8RboI/AAAAAAAEFJ8/XHjm5f6zf4s4FJ5w_Q01BOZWSxwoJ4W3gCLcBGAsYHQ/s640/pic3.jpg)
10 years ago
Habarileo13 Aug
Teknolojia mpya ya mimba za ng’ombe yaja nchini
JITIHADA za Serikali ya Rais Jakaya Kikwete kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya mifugo na ufugaji nchini, zimepata msukumo mpya kufuatia uamuzi wa kujengwa kwa maabara ya kisasa kabisa ya matumizi ya teknolojia ya vinasaba ya kuboresha mbegu za mimba za ng’ombe inayojulikana kama embryo transfer.
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Teknolojia mpya ya mimba za ng’ombe yaja Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
SERIKALI inatarajiwa kujenga maabara ya kisasa ya matumizi ya teknolojia ya vinasaba ya kuboresha mbegu za mimba za ng’ombe (embryo transfer).
Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu ilisema jana kuwa maabara hiyo ya kisasa itajengwa katika Ranchi ya Mzeli mkoani Tanga na kampuni ya Overland Livestock Multiplication Unit and Embryo Transfer kwa kutumia teknolojia kutoka New Zealand na kwa kushirikiana na Kampuni ya Taifa ya Ranchi...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Ujenzi wa ghorofa wasitishwa
UONGOZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, umezuia ujenzi wa jengo la ghorofa linalojengwa mkabala na Benki ya NMB kutokana na kuwa na nyufa kwenye kuta na nguzo zake. Zuio...
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Meya asimamisha ujenzi wa ghorofa
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
HP yaja na teknolojia kudhibiti bidhaa bandia
WATU wengi hawana ufahamu wa kutosha kuhusu ununuzi wa bidhaa zilizotengenezwa chini ya kiwango. Watanzania wamekuwa wateja wakubwa wa bidhaa hizo kutokana na kuangalia unafuu wa bei. Licha ya mamlaka...
10 years ago
Habarileo08 Jun
Kinana atahadharisha ujenzi soko la ghorofa
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amehadharisha Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba dhidi ya mpango wake wa kujenga soko la ghorofa kwa kuitaka ijifunze kilichoikumba Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam baada ya kujenga soko la Machinga Complex .
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AF48Ls5znROBM*BlRZchdgnBLSFkmpCwyGG5YMBrPedPA2Kr1YftllCI-Hw588RUNTvmkhzkIh-UwTSxbIF177RDNWNMZRiC/11.jpg?width=650)
UJENZI WA GHOROFA WAPIGWA MARUFUKU KWA VILE LIMEONEKANA KUPINDA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YhWXHTkyD9Y/UvjhMYPwBKI/AAAAAAAFMMU/akwMx1PmcZI/s72-c/download.jpg)
news alert: wawili wahukumiwa faini shilingi milioni 15 ama jela miaka 15 kwa ujenzi wa jengo la ghorofa 18 jijini dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-YhWXHTkyD9Y/UvjhMYPwBKI/AAAAAAAFMMU/akwMx1PmcZI/s1600/download.jpg)
Washtakiwa hao ni aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Makumba Kimweri na aliyekuwa Msanifu Mkuu wake Richard Maliyaga (55) wote wakazi wa jijini Dar es Salaam.
Akisoma hukumu hiyo Hakimu Mkazi Sundi...