Teknolojia mpya ya mimba za ng’ombe yaja nchini
JITIHADA za Serikali ya Rais Jakaya Kikwete kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya mifugo na ufugaji nchini, zimepata msukumo mpya kufuatia uamuzi wa kujengwa kwa maabara ya kisasa kabisa ya matumizi ya teknolojia ya vinasaba ya kuboresha mbegu za mimba za ng’ombe inayojulikana kama embryo transfer.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Teknolojia mpya ya mimba za ng’ombe yaja Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
SERIKALI inatarajiwa kujenga maabara ya kisasa ya matumizi ya teknolojia ya vinasaba ya kuboresha mbegu za mimba za ng’ombe (embryo transfer).
Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu ilisema jana kuwa maabara hiyo ya kisasa itajengwa katika Ranchi ya Mzeli mkoani Tanga na kampuni ya Overland Livestock Multiplication Unit and Embryo Transfer kwa kutumia teknolojia kutoka New Zealand na kwa kushirikiana na Kampuni ya Taifa ya Ranchi...
10 years ago
Habarileo30 Sep
Teknolojia mpya ujenzi wa ghorofa yaja
WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) una mpango wa kutumia teknolojia mpya ya kujenga nyumba ya ghorofa kwa siku moja lengo likiwa ni kuisaidia Serikali katika kupunguza uhitaji wa nyumba pamoja na kupunguza gharama za ujenzi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z2Umln1x9QM/XlEZRl8RboI/AAAAAAAEFJ8/XHjm5f6zf4s4FJ5w_Q01BOZWSxwoJ4W3gCLcBGAsYHQ/s72-c/pic3.jpg)
ALAF Limited yaja na Teknolojia mpya ya ujenzi wa kisasa wa gharama nafuu SAFBUILD
![](https://1.bp.blogspot.com/-z2Umln1x9QM/XlEZRl8RboI/AAAAAAAEFJ8/XHjm5f6zf4s4FJ5w_Q01BOZWSxwoJ4W3gCLcBGAsYHQ/s640/pic3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
HP yaja na teknolojia kudhibiti bidhaa bandia
WATU wengi hawana ufahamu wa kutosha kuhusu ununuzi wa bidhaa zilizotengenezwa chini ya kiwango. Watanzania wamekuwa wateja wakubwa wa bidhaa hizo kutokana na kuangalia unafuu wa bei. Licha ya mamlaka...
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Teknolojia mpya ya KYC ya kusajili na kuhakiki namba za simu za mkononi kupitia Smartphone yazinduliwa nchini
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Profesa John Nkoma akifungua mkutano na waandishi wa Habari na kuzungumzia umuhimu wa kusajili namba za simu za Mkononi na Mfumo mpya wa kusajili namba na kuhakiki kutumia Teknolojia mpya ya Kielekroniki..
Mwenyekiti wa umoja wa makampuni ya mawasiliano Tanzania ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Bwana Rene Meeza akitamka rasmi uzinduzi wa usajili mpya wa simu za mikononi kwa kutumia Teknolojia mpya ya kutumia smart...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ga9ftz9iuSE/Xru1fTRrV6I/AAAAAAALqAs/RRIlPEEHk2Q_4oDV33qaOjyza5oLr2R5ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
COSTECH,TALIRI KUZALISHA NG'OMBE KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ga9ftz9iuSE/Xru1fTRrV6I/AAAAAAALqAs/RRIlPEEHk2Q_4oDV33qaOjyza5oLr2R5ACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uqAZTmpUQok/Xru1fde2LVI/AAAAAAALqAo/KpExfmeBJx8VU2xBjdWDBLEfxeJ01zPrQCLcBGAsYHQ/s640/2%2B%25281%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vf2EITWjFVI/Xru1glJtYUI/AAAAAAALqAw/5JDlWQcU11gvMWeb9NT19zrRnd2aQi3YACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-zYqJ8VaZ7oc/Xru11rJEFsI/AAAAAAALqA8/iFgkfmA59nEVpMarUuPsadOWy9IH330dQCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-F4bui1LZsTU/Xru16pjwZPI/AAAAAAALqBA/3rBpTxoHL_gpZYdx0WyqXyNfilgm-yU5QCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH)...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Zl1L2gW_yHo/UxBcZE_VppI/AAAAAAAFQP4/7F0GaA89EhI/s72-c/unnamed+(28).jpg)
MAKARANI 90 WA MAHAKAMA MBALIMBALI NCHINI KUPEWA MAFUNZO YA KUJIFUNZA MFUMO MPYA WA TEKNOLOJIA WA KUDHIBITI MASHAURI MAHAKAMANI KWA NJIA YA KOMPYUTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Zl1L2gW_yHo/UxBcZE_VppI/AAAAAAAFQP4/7F0GaA89EhI/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rCGQeO2cQgk/UxBccYMJotI/AAAAAAAFQQA/6Bh6aB98ff8/s1600/unnamed+(29).jpg)
10 years ago
VijimamboUZINDUZI WA UTARATIBU MPYA WA KUSAJILI NA KUHAKIKI NAMBA ZA SIMU ZA MKONONI KWA TEKNOLOJIA MPYA YA KYC KUPITIA SMARTPHONE LEO JIJINI DAR.