Teknolojia mpya ya mimba za ng’ombe yaja Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
SERIKALI inatarajiwa kujenga maabara ya kisasa ya matumizi ya teknolojia ya vinasaba ya kuboresha mbegu za mimba za ng’ombe (embryo transfer).
Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu ilisema jana kuwa maabara hiyo ya kisasa itajengwa katika Ranchi ya Mzeli mkoani Tanga na kampuni ya Overland Livestock Multiplication Unit and Embryo Transfer kwa kutumia teknolojia kutoka New Zealand na kwa kushirikiana na Kampuni ya Taifa ya Ranchi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Aug
Teknolojia mpya ya mimba za ng’ombe yaja nchini
JITIHADA za Serikali ya Rais Jakaya Kikwete kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya mifugo na ufugaji nchini, zimepata msukumo mpya kufuatia uamuzi wa kujengwa kwa maabara ya kisasa kabisa ya matumizi ya teknolojia ya vinasaba ya kuboresha mbegu za mimba za ng’ombe inayojulikana kama embryo transfer.
10 years ago
Habarileo30 Sep
Teknolojia mpya ujenzi wa ghorofa yaja
WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) una mpango wa kutumia teknolojia mpya ya kujenga nyumba ya ghorofa kwa siku moja lengo likiwa ni kuisaidia Serikali katika kupunguza uhitaji wa nyumba pamoja na kupunguza gharama za ujenzi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z2Umln1x9QM/XlEZRl8RboI/AAAAAAAEFJ8/XHjm5f6zf4s4FJ5w_Q01BOZWSxwoJ4W3gCLcBGAsYHQ/s72-c/pic3.jpg)
ALAF Limited yaja na Teknolojia mpya ya ujenzi wa kisasa wa gharama nafuu SAFBUILD
![](https://1.bp.blogspot.com/-z2Umln1x9QM/XlEZRl8RboI/AAAAAAAEFJ8/XHjm5f6zf4s4FJ5w_Q01BOZWSxwoJ4W3gCLcBGAsYHQ/s640/pic3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
HP yaja na teknolojia kudhibiti bidhaa bandia
WATU wengi hawana ufahamu wa kutosha kuhusu ununuzi wa bidhaa zilizotengenezwa chini ya kiwango. Watanzania wamekuwa wateja wakubwa wa bidhaa hizo kutokana na kuangalia unafuu wa bei. Licha ya mamlaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ga9ftz9iuSE/Xru1fTRrV6I/AAAAAAALqAs/RRIlPEEHk2Q_4oDV33qaOjyza5oLr2R5ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
COSTECH,TALIRI KUZALISHA NG'OMBE KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ga9ftz9iuSE/Xru1fTRrV6I/AAAAAAALqAs/RRIlPEEHk2Q_4oDV33qaOjyza5oLr2R5ACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uqAZTmpUQok/Xru1fde2LVI/AAAAAAALqAo/KpExfmeBJx8VU2xBjdWDBLEfxeJ01zPrQCLcBGAsYHQ/s640/2%2B%25281%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vf2EITWjFVI/Xru1glJtYUI/AAAAAAALqAw/5JDlWQcU11gvMWeb9NT19zrRnd2aQi3YACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-zYqJ8VaZ7oc/Xru11rJEFsI/AAAAAAALqA8/iFgkfmA59nEVpMarUuPsadOWy9IH330dQCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-F4bui1LZsTU/Xru16pjwZPI/AAAAAAALqBA/3rBpTxoHL_gpZYdx0WyqXyNfilgm-yU5QCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH)...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kOFI-56haHo/XpX2MqWhA7I/AAAAAAALm8g/kPVyf443NRM5gfpfpUT__hH6-do3uZtwgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-14%2Bat%2B8.09.20%2BPM.jpeg)
TECNO yaja kivingine, kuzindua simu mpya CAMON 15 kwa njia ya mtandao Tanzania
“Hii sio tu nafasi nzuri kwa TECNO kuwasiliana na wateja...
10 years ago
VijimamboUZINDUZI WA UTARATIBU MPYA WA KUSAJILI NA KUHAKIKI NAMBA ZA SIMU ZA MKONONI KWA TEKNOLOJIA MPYA YA KYC KUPITIA SMARTPHONE LEO JIJINI DAR.
10 years ago
Habarileo08 Apr
Tanesco yaja na Luku mpya
Shirika la Umeme nchini (TANESCO) linatarajia kubadilisha mfumo wa huduma ya Lipia Umeme Kadri Utumiavyo (Luku) na kuuweka wa kisasa ili kuwaondolea usumbufu wateja wake.