MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SLAA ASIMAMISHA UJENZI WA MAJENGO YALIYOPO MAKUTANO YA AGGREY & INDRAGADHI KWA KUKIUKA MICHORO YA UJENZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-BxL9MT2WWjY/VOhcTmCX4YI/AAAAAAAHE6Y/0odTJD7icjQ/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa(kushoto) na Mkuu wa kitengo cha mazingira wa manispaa hiyo Themi Luther(kulia) wakipitia michoro ya usanifu ya majengo kwenye makutano ya mitaa ya Aggrey na Indragadhi ambapo ujenzi huo haujafuata michoro, Alipotembelea na kupima uzio wa mabati unaowekwa na wakandarasi wengi bila kulipiwa vibali, Katika ukaguzi huo majengo mengi yamekiuka michoro ya ujenzi na amesimamisha ujenzi huo mara moja hapo jana.
Mkuu wa kitengo cha mazingira wa manispaa ya Ilala...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo21 Feb
MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SLAA ASIMAMISHA UJENZI WA MAJENGO KWA KUKIUKA MICHORO YA UJENZI
![](http://api.ning.com/files/JaaIjingYwJrtLdU8mVbQzt8qBfiV6JNL8Ux5L2VctAjUDdkNhba*ZDWr1T4WJxwcDpxiCCa4-bIiSNIJGBw*zdRppwYuVQi/001.JP.jpg)
![](http://api.ning.com/files/JaaIjingYwLuBpzGC6LXmmre3AjrP*bmio6ZX9mz3SE6zAjIgy9NBwM5o-9kPGOc7*1lqkekSuT45UfLDjVmk1YAI*wcrmxJ/004.JP.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
Meya Jerry Silaa asimamisha ujenzi wa majengo Ilala
Mstahiki Meya wa Meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (mwenye miwani) akiambatana na viongozi wenzake wametembelea na kupima uzio wa mabati unaowekwa na wakandarasi wengi bila kulipiwa vibali,kulipiwa vibali kiwango kidogo kwa kuchakachua vipimo na kutovilipia kila mwaka.
Mkuu wa kitengo cha mazingira wa manispaa ya Ilala Themi Luther (katikati) akimpatia maelekezo .Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa (kushoto) kuhusiana na usanifu wa jengo kwenye makutano ya mitaa ya Aggrey na...
11 years ago
MichuziMEYA WA ILALA JERRY SILAA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA YA UKONGA KUELEKEA MAZIZINI MPAKA MOSHI BAR
11 years ago
GPLMEYA WA ILALA JERRY SILAA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA YA UKONGA KUELEKEA MAZIZINI MPAKA MOSHI BAR
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Foa8bsaPWrQ/U870Y9XN4xI/AAAAAAAF47Q/KNu3tI2d8Og/s72-c/a1.jpg)
Mstahiki Meya wa Ilala Mhe Jerry Slaa aanda futari kwa wadau mbalimbali
![](http://1.bp.blogspot.com/-Foa8bsaPWrQ/U870Y9XN4xI/AAAAAAAF47Q/KNu3tI2d8Og/s1600/a1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Dn-u-fwhu_U/U870ZSSE-jI/AAAAAAAF47U/FtjikgVw4ks/s1600/a12.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Joctej8UB2s/U870aYrNwRI/AAAAAAAF47c/BX-lCqqyndU/s1600/a14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wbSPRTktoB0/U870d_Si6CI/AAAAAAAF47o/j8l6Rf2LKFg/s1600/a15.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vpPuAayWQ5U/U870gkvrPqI/AAAAAAAF47w/bqppbdy4-Ns/s1600/a17.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLTsqM2s7r4rfRubV9rwF-5V77iTRH2Xqi3omvyvUwe88uPlqhIsx33Dqcp3bDRBrW0cZJB2ADuR8eI4vvkrUuKY/Photo1.jpg)
MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA AWAAGA WATUMISHI SITA WA AFYA WA MANISPAA HIYO WANAOENDA KUONGEZA UJUZI KOREA KUSINI
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Meya asimamisha ujenzi wa ghorofa
11 years ago
GPLMEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
Meya Jerry Slaa wa Ilala atangaza rasmi kugombea ubunge jimbo la Ukonga
![](http://2.bp.blogspot.com/-Wfm8dO1_50Q/VZo8XgpAZ-I/AAAAAAAAe3Q/QPZnlFKfAHM/s640/p11.jpg)
Meya wa Ilala, Jerry Slaa akifuatilia kwa karibu burudani zilizokuwa zinatolewa na vikundi mbalimbali katika mkutano huo. Pamoja nae ni Mbunge wa Afrika Mashariki na Mjumbe wa NEC wa CCM,Alhaji Adam Kimbisa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-MiegnJV85NU/VZo8YxKfvHI/AAAAAAAAe3Y/1ald8MaJYj4/s640/s1.jpg)
Diwani wa kata ya Gongo la Mboto na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Slaa akihutubia wananchi katika uwanja wa shule ya msingi kitunda mwishoni mwa wiki ambapo alieleza mafanikio yaliyopatikana wakati wa kipindi chake cha uongozi na kukamilisha ahadi mbalimbali alizokuwa...