Mstahiki Meya wa Ilala Mhe Jerry Slaa aanda futari kwa wadau mbalimbali

Waalikwa wakipakua futari iliyoandaliwa na Meya wa Ilala Mstahiki Jerry Silaa katika ukumbi wa Arnatouglou jijini Dar es salaam siku ya Jumanne Julai 22, 2014 ambapo wadau kutoka sehemu mbalimbali walihudhuria.
Kina mama walikuwepo pia
Wadau mbalimbali walihudhuria
Kaimu Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam akitoa neno la shukurani
Mstahiki Meya wa Ilala alitoa zawadi kwa kila mgeni aliyealikwa. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
meya wa ilala mstahiki jerry slaa atoa wito wananchi kuzingatia mabadiliko ya baadhi ya njia ya mabasi dar es salaam

11 years ago
Dewji Blog18 Sep
Mstahiki Meya wa Ilala Jerry Silaa ashusha neema kwa shule ya msingi Kivuleâ€â€Ž
Meza kuu ikiwa imepambwa na viongozi mbalimbali kwaajili ya kupokea msaada wa madawati.
Meya wa manispaa ya Ilala Jerry silaa akabidhi msaada wa madawati mia moja katika shule ya msingi kivule iliyopo jijini dar es salaam ikiwa ni mpango aliouanzisha na kuanza kuutekeleza kupitia (Mayors Ball) katika mpango huo madawati hayo yamekabidhiwa kwa mwalimu mkuu wa shue hiyo pamoja na diwani wa kata ya kivule na afisa elimu wa manispaa ya ilala walikuwepo katika shuguli hiyo ya kupokea msaada...
11 years ago
GPLMSTAHIKI MEYA WA ILALA JERRY SILAA ASHUSHA NEEMA KWA SHULE YA MSINGI KIVULE
11 years ago
Michuzi
news alert: hackers waiba akaunti ya facebook ya meya wa ilala Mstahiki Jerry Silaa leo

Tafadhali puuzia ujumbe huo kwani utasababisha akaunti yako nayo ku-hackiwa. Tafadhali sambaza ujumbe huu, wakati tunaendelea kujaribu kuiokoa. Nawaomba radhi wote walopatwa na usumbufu huu.
Asanteni sana - Jerry Silaa
10 years ago
Vijimambo21 Feb
MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SLAA ASIMAMISHA UJENZI WA MAJENGO KWA KUKIUKA MICHORO YA UJENZI


10 years ago
GPL
MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA AWAAGA WATUMISHI SITA WA AFYA WA MANISPAA HIYO WANAOENDA KUONGEZA UJUZI KOREA KUSINI
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
Meya Jerry Slaa wa Ilala atangaza rasmi kugombea ubunge jimbo la Ukonga

Meya wa Ilala, Jerry Slaa akifuatilia kwa karibu burudani zilizokuwa zinatolewa na vikundi mbalimbali katika mkutano huo. Pamoja nae ni Mbunge wa Afrika Mashariki na Mjumbe wa NEC wa CCM,Alhaji Adam Kimbisa.

Diwani wa kata ya Gongo la Mboto na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Slaa akihutubia wananchi katika uwanja wa shule ya msingi kitunda mwishoni mwa wiki ambapo alieleza mafanikio yaliyopatikana wakati wa kipindi chake cha uongozi na kukamilisha ahadi mbalimbali alizokuwa...
10 years ago
Michuzi.jpg)
MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SLAA ASIMAMISHA UJENZI WA MAJENGO YALIYOPO MAKUTANO YA AGGREY & INDRAGADHI KWA KUKIUKA MICHORO YA UJENZI
.jpg)
.jpg)