RC asimamisha vigogo 7 Mkinga
MKUU wa mkoa wa Tanga, Magalula Said Magalula amewasimamisha kazi kwa muda usiojulikana watumishi saba wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga, ambao ni wakuu wa Idara na Vitengo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Wasira asimamisha vigogo watatu Rubada
10 years ago
Mtanzania17 Apr
Sitta asimamisha vigogo watano TRL
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta, amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), Kipallo Kisamfu na wengine wanne ili kupisha uchunguzi wa kashfa ya uingizaji wa mabehewa feki ya mizigo yaliyoigharimu Serikali Sh bilioni 230.
Viongozi wengine waliosimamishwa ni Mkuu wa Mitandao, Ngosomwile Ngosomiles, Mhasibu Mkuu, Mbaraka Mchopa, Mkaguzi Mkuu wa Ndani, Jasper Kisiranga na Meneja Mkuu wa Manunuzi, Ferdinand Soka.
Alitangaza uamuzi...
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Meya asimamisha ujenzi wa ghorofa
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Mwakyembe asimamisha sita TRL
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harisson Mwakyembe, amewasimamisha kazi wafanyakazi zaidi ya sita wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), akiwemo Kaimu Mkurugenzi, Pascal Mafikiri, kwa kuhusika katika uagizaji wa mabehewa mapya...
10 years ago
Mwananchi20 Jul
Msigwa asimamisha shughuli Iringa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eoZ5qo4qa6qQyqsR5mRhBGiaUjLtpVdjopfJSkb8YF4xpM-BnwOikhpQ4zFdt4HvHCftSfKT7az4woT9rq3Jaw3RjuB8iBsu/1IOIOOO.jpg)
Lunyamila asimamisha usajili Yanga
11 years ago
Mwananchi12 Jul
MAKAZI: JK awakomboa watumishi Mkinga
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Jafo asimamisha kazi Mkurugenzi Mwanza
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora, Suleiman Jafo.
NAIBU Waziri wa Ofisi ya Rais, Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora, Suleiman Jafo, amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauli ya Manispaa ya Ilemela, John Wanga kutokana matumizi mabaya ya madaraka. Anaandika Moses Mseti, Mwanza .
Naibu huyo wa Tamisemi alitoa agizo hilo wakati akizungumza watumishi wa manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza, ambako amesema mkurugenzi huyo ameshindwa kuhamia katika nyumba hiyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E9fEOxuVMyS4svDFnn55HFEHmTKcHlEBFL*JBLm5dicdimohx60sxiNIV20eSRVo*M3j1zFCXLeBa5pZTsGootx56Bw7l*G2/MAXI.jpg)
Maximo asimamisha usajili wote Yanga