Jafo asimamisha kazi Mkurugenzi Mwanza
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora, Suleiman Jafo.
NAIBU Waziri wa Ofisi ya Rais, Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora, Suleiman Jafo, amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauli ya Manispaa ya Ilemela, John Wanga kutokana matumizi mabaya ya madaraka. Anaandika Moses Mseti, Mwanza .
Naibu huyo wa Tamisemi alitoa agizo hilo wakati akizungumza watumishi wa manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza, ambako amesema mkurugenzi huyo ameshindwa kuhamia katika nyumba hiyo...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CAeg5yLwB-E/Xm98UJtslLI/AAAAAAALj5s/KZ9ZZga0yawzO03WPk4-t0SAmiocKChpACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-16%2Bat%2B3.09.18%2BPM.jpeg)
JAFO AKAGUA UJENZI HOSPITALI YA UHURU, AAGIZA KUONGEZWA KWA NGUVU KAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-CAeg5yLwB-E/Xm98UJtslLI/AAAAAAALj5s/KZ9ZZga0yawzO03WPk4-t0SAmiocKChpACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-16%2Bat%2B3.09.18%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-o28BEPgB1ys/Xm98bpKF5pI/AAAAAAALj54/PfSktziwcU8EUS42eIA_ciaTNdTN3rr1QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-16%2Bat%2B3.09.53%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8ssnWn_Pdnw/Xm98bhk9pBI/AAAAAAALj50/M7-UHJJlQPMperuKZre_6_LfZfLNSNv6gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-16%2Bat%2B3.10.39%2BPM.jpeg)
Charles James, Globu ya JamiiWAZIRI wa Nchi Ofisi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uckc9pcEDx8/Xszqe7Ci8TI/AAAAAAALrkw/f16SdQpCN9s3qwcGZSF4mOdjFNrfgwRzwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.55.49%2BPM.jpeg)
JAFO AWATAKA UONGOZI MPYA WA SHIRIKA LA ELIMU KUFANYA KAZI KWA SPIDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-uckc9pcEDx8/Xszqe7Ci8TI/AAAAAAALrkw/f16SdQpCN9s3qwcGZSF4mOdjFNrfgwRzwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.55.49%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-NSWX3MMtexk/XszqezXLmNI/AAAAAAALrk0/bPn3G6KjjfErEOzC-tl0Ni4hqTgreFjPQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.54.52%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-I8y0gBhXv4o/XszqfFKLd9I/AAAAAAALrk4/IEGr8X9YOik42DvSf4K_EREXT7QJYdgwwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-26%2Bat%2B12.56.54%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CcIroERmUZI/XlnuVhLq4zI/AAAAAAALgAk/Bkw3g_lbj2cBGmDAt64qJr3h3FCMjo0egCLcBGAsYHQ/s72-c/47e3fce5-a0ac-49b4-a230-566423910ef2.jpg)
JAFO APONGEZA KAZI KUBWA INAYOFANYWA NA DC JOKATE KATIKA SEKTA YA ELIMU NA AFYA KISARAWE
Akizungumza wakati akifungua kongamano la ‘Mama lishe’ lililowakutanisha mama lishe mbalimbali wilayani humo, Waziri Jafo pia alitumia nafasi hiyo kumpongeza Mkuu wa Wilaya...
9 years ago
StarTV27 Aug
CWT Mwanza chatishia mgogoro na mkurugenzi wa jiji
Chama cha Walimu Tanzania CWT wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza kimesema kitatangaza mgogoro na mkurugenzi wa jiji la Mwanza kwa madai ya kushindwa kulipa stahiki za walimu wilayani humo jumla ya shilingi milioni 707.
Kwa mujibu wa mwenyekiti wa CWT wilaya ya Nyamagana, hatua hiyo inatokana na mkurugenzi wa jiji la Mwanza kushindwa kujibu barua yao ya madai hayo yanayohusisha fedha za nauli ya likizo, malimbikizo ya mishahara na uhamisho. Projestus Binamungu ameandaa taarifa ifuatayo:
Katika...
10 years ago
Michuzi31 Jan
Mkurugenzi Mkuu wa NHC atembelea miradi Geita na Mwanza
![](https://4.bp.blogspot.com/-ijgj0MQ_iM8/VMvr3SNYRJI/AAAAAAAAAV8/X8xLAkA8qds/s1600/New%2BPicture%2B%2837%29.png)
![](https://4.bp.blogspot.com/-KUC3XCiW87I/VMvr8zPTVOI/AAAAAAAAAWM/5Q4O-cLqZVw/s1600/New%2BPicture%2B%2838%29.png)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Habarileo28 Jan
Mkurugenzi AICC afukuzwa kazi
BODI ya Wakurugenzi ya Kituo cha Mikutano ya Kimataifa (AICC) Arusha imemtimua kazi Mkurugenzi wa Miliki na Miradi wa kituo hicho, Paul Ndosa kwa ubadhirifu wa mamilioni ya fedha za shirika hilo la umma.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JaaIjingYwK630D1RgsvOY8-G1PCFstB0qCKJJHYjHhpZzmiCyoykM-xTqMUAyDtwzvXVprZAWjDeIm3Cj7oz1-NU-heNxKJ/PICHA.jpg?width=750)
MKURUGENZI WA TIMES FM AMPA MKONO WA POLE BI ESTA BUGANDO, MWANZA
10 years ago
Dewji Blog31 Jan
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu atembelea miradi Geita na Mwanza
Msimamizi wa mradi wa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC Bombambili Geita Bw, Julius Ntoga (kulia) akitoa maelezo ya mradi huo kwa ujumbe wa Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu alipotembelea mradi huo jana. Mradi huo wenye nyumba 48 ni wa nyumba za kuuza na unakamilika Februari mwaka huu.
Ujumbe wa Mkurugenzi Mkuu wa NHC ukitembelea nyumba za gharama nafuu zilizojengwa eneo la Bombambili, Geita kwa ajili ya kuuzia wananchi.
Sehemu ya nyumba za gharama nafuu zilizojengwa...
9 years ago
StarTV06 Jan
Waziri Maghembe awasimamisha kazi Mkurugenzi, maafisa
Waziri wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Magembe amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Mipango na Matumizi endelevu ya Rasilimali za Misitu wa Wakala wa Misitu Tanzania TFS Mohammed Kilongo pamoja na maafisa wa misitu wa Mikoa yote nchini kupisha uchunguzi wa ubadhirifu ulioonekana ili ufanyiwe kazi.
Hata hivyo, Waziri huyo pia ametoa siku saba kwa Idara ya Misitu kurudi katika Jengo la Wizara hiyo kwa lengo la kupunguza matumizi mabaya ya fedha za Serikali na kukemea tabia ya kupanga...