Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKURUGENZI WA TIMES FM AMPA MKONO WA POLE BI ESTA BUGANDO, MWANZA

Mkurugenzi Mtendaji wa Times Radio Fm,  Mr. Rehure Nyaulawa akiwa hospitali Bugando Mwanza alipoenda kumpa mkono wa pole bi Esta Jonas ambaye mtoto wake wa mwaka mmoja mwenye ulemavu wa ngozi (albino) aliyekutwa na majanga kukatwa mikono na miguu na watu wasiojulikana.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mtanzania

Serikali yamkataa Mkurugenzi wa Bugando

Hospitali ya Bugando

Hospitali ya Bugando

NA FREDERICK KATULANDA, MWANZA

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imemkataa mkurugenzi mpya wa Hospitali ya Rufaa Bugando, Dk. Kien Mteta, aliyeteuliwa na kanisa hilo kushika nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Hospitali hiyo, Profesa Charles Majinge.

Kutokana na hali hiyo, Serikali imelazimika kuliandikia barua kanisa hilo kueleza jinsi isivyotambua mabadiliko hayo yaliyofanywa kinyume cha mkataba uliopo kati yake na kanisa hilo.
Taarifa hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na...

 

5 years ago

Livescience.Com

Ozone hole three times the size of Greenland opens over the North Pole

Ozone hole three times the size of Greenland opens over the North Pole  Livescience.comIn not so good news for earth, unusual mini-ozone hole opens over Arctic  The TribuneUnusual mini-ozone hole opens over the Arctic  Times NowView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Michuzi

MSIBA BUGANDO NA NYAKATO NATIONAL MWANZA

Mwalimu Kulthum R. Mussa (Mwambambale) wa Nyakato National Mwanza anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mumewe Dr. Hassan Marekero Mdee (pichani) kilichotokea katika Hospitali ya Bugando Mwanza tarehe 22.11.2015. Msiba upo nyumbani kwake Nyakato National Mahina karibu na kanisa la Roma.  Heshima za mwisho zimetolewa siku ya Jumanne nyumbani kwa Marehemu Mahina. Marehemu atasafirishwa leo Jumatano alifajiri kuelekea Moshi Uchira kwa mazishi ambayo yatafanyika siku ya Alhamisi. “Innalilahi...

 

11 years ago

Mwananchi

Rais Chuo Kikuu Bugando aokotwa akiwa hoi Mwanza

>Rais wa Serikali ya Wanafunzi Chuo Kikuu cha Sayansi ya Afya na Tiba Bugando (Cuhas), Mussa Mdede ambaye alitoweka katika mazingira ya kutatanisha Juni 17, mwaka huu ameokotwa eneo la Busagara mkoani hapa akiwa hajitambui.

 

10 years ago

BBCSwahili

Malinzi ampa Nooij mkono wa kwaheri

Jamal Malinzi amempa rasmi mkono wa kwaheri aliyekuwa kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Mart Nooij.

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA MAJERUHI WA AJALI YA BASI LA LUHUYE WAKIWA HOSPITALI YA RUFAA BUGANDO, MWANZA

Baadhi ya majeruhi katika ajali ya Basi la Luhuye Express iliyotokea juzi Wilaya ya Busega mkoani Simiyu wakipelekwa chumba cha upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Mwanza. Mpaka sasa watu 16 wamepoteza maisha. Majeruhi wakiwa hospitalini Bgando.…

 

11 years ago

Michuzi

AFRICAN BARRICK GOLD MINING WADHAMINI TIBA YA UPASUAJI BURE KWA KICHWA, MGONGO NA MISHIPA YA FAHAMU KATIKA HOSPITALI YA BUGANDO MWANZA

Daktari Bingwa wa Ubongo, Mgongo na mishipa ya fahamu Dr. Othman W. Kiloloma kutoka hospitali ya Muhimbili amesema kuwa timu ya madaktari saba imewasili kutoka Muhimbili  ikiwa na daktari bingwa 1 wa usingizi wakiwa na vifaa vyote muhimu ili kuungana na madaktari Bingwa wa upasuaji Bugando kwaajili ya kuweka kambi ya tiba mkoani Mwanza.   Dr. Othman W. Kiloloma ameongeza kuwa dhana ya kuweka kambi Mwanza imekuja ikiwa ni hatua ya kujaribu kupunguza vifo na usumbufu unaowakumba watu...

 

10 years ago

Ykileo

MKURUGENZI MKUU WA CERT YA UINGEREZA AUNGA MKONO KAULI YA WANAUSALAMA MITANDAO

Bwana Chris Gibson, Mkurugenzi mkuu wa CERT (Computer Emergence Response Team) ya Nchini Uingereza yenye dhamana ya kubaini na kudhibiti uhalifu mtandao nchini humo ametangaza rasmi kuunga mkono kauli  ya mwaka huu ya wanausalama mitandao ambayo Niliizungumzia rasmi na kuitolea ufafanuzi katika mkutano wa wanausalama mitandao tulipo kutana jijini Johannesburg mwaka huu mwezi wa Tano mwishoni.



Kauli hii ya ushirikiano nilipo izungumzia, wataalam wote katika mkutano huo waliiunga mkono na sasa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani