Serikali yamkataa Mkurugenzi wa Bugando
Hospitali ya Bugando
NA FREDERICK KATULANDA, MWANZA
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imemkataa mkurugenzi mpya wa Hospitali ya Rufaa Bugando, Dk. Kien Mteta, aliyeteuliwa na kanisa hilo kushika nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Hospitali hiyo, Profesa Charles Majinge.
Kutokana na hali hiyo, Serikali imelazimika kuliandikia barua kanisa hilo kueleza jinsi isivyotambua mabadiliko hayo yaliyofanywa kinyume cha mkataba uliopo kati yake na kanisa hilo.
Taarifa hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
MKURUGENZI WA TIMES FM AMPA MKONO WA POLE BI ESTA BUGANDO, MWANZA
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Burundi yamkataa mpatanishi mpya
10 years ago
Vijimambo11 Apr
VATICAN YAMKATAA BALOZI, KUNANI?

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis
Mzozo wa kidiplomasia umezuka kati ya makao makuu ya papa mtakatifu ya the Vatican na Ufaransa kuhusiana na uteuzi wa balozi mpya wa Ufaransa, mjini Rome.Rais wa Ufaransa Francois Holland, amempendekeza muumini mmoja wa kanisa hilo ambaye ni mpenzi wa jinsia moja kuwa balozi wake mjini Vatican.Lakini utawala wa Vatican umesema uteuzi huo haukubaliki.Makao makuu ya papa mjini The Vatican hayajasema lolote kuhusiana na uteuzi huo ,lakini ni...
11 years ago
GPL
Yanga SC yamkataa msaidizi wa Maximo
10 years ago
BBCSwahili10 Apr
Vatican yamkataa balozi,kunani?
11 years ago
Michuzi01 Aug
Mkurugenzi wa Idara ya Habari atembelea Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali Wizara ya Mambo ya Nje
10 years ago
Habarileo23 Feb
Wagonjwa wa saratani waongezeka Bugando
IDADI ya wagonjwa wa saratani katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini, Mwanza imeongezeka kutoka 3,400 mwaka 2009 hadi kufikia wagonjwa 10,200 mwaka jana.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
Rais Bugando afanyiwa ya Ulimboka
RAIS wa Chuo Kikuu cha CUHAS (Bugando) na Mwenyekiti wa Shirikisho la wanafunzi vyuo vikuu nchini (TAHLISO), Mussa Mdede ameokotwa akiwa amepoteza fahamu baada ya kutekwa nyara na watu wasiojulikana....
11 years ago
Mwananchi09 Sep
Mwandishi wa Mwananchi ahamishiwa Bugando