Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wagonjwa wa saratani waongezeka Bugando

Mkuu wa Idara ya Saratani, Dk Nestory MasaluIDADI ya wagonjwa wa saratani katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini, Mwanza imeongezeka kutoka 3,400 mwaka 2009 hadi kufikia wagonjwa 10,200 mwaka jana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wagonjwa wa Ebola waongezeka Guinea

Kukosekana kwa elimu ya ebola kwa sababisha madhara zaidi nchini Guinea, Afrika magharibi

 

5 years ago

Michuzi

WAGONJWA WAPYA WA CORONA 196 WAONGEZEKA NCHINI


Na WAJMW-Dodoma

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa ametangaza ongezeko la wagonjwa wa Corona 196 nchini huku Tanzania Bara ikiwa na Wagonjwa 174 na Zanzibar wagonjwa 22 ambao walitolewa taarifa na Waziri wa Afya Wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid na kufanya idadi ya wagonjwa wa Corona nchini kufikia 480.

Waziri Mkuu Majaliwa amesema hayo wakati akigawa magari 50 ya kubebea wagonjwa kwa wabunge wa majimbo mbalimbali tukio lililofanyika leo katika ofisi ya Waziri Mkuu iliyopo...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU MAJALIWA: WAGONJWA WAWILI WA CORONA WAONGEZEKA

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema jana (5 Aprili, 2020) wagonjwa wawili wa corona wameongezeka, hivyo Tanzania ina jumla ya watu 22 waliothibitishwa kuwa na homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) na kwamba wote wanaendelea vizuri.
Hata hivyo, Waziri Mkuu amewaagiza Wakuu wa Mikoa waimarishe ulinzi kwenye vituo vyote vilivyotengwa kwa ajili ya kuwaweka watu wote wanaoingia nchini na wahakikishe hakuna anayetoka ili kuepuka kusambaa kwa virusi vya corona.
Waziri...

 

5 years ago

Michuzi

Wagonjwa wapya 53 wa corona waongezeka, Amana Sasa kupokea wenye dalili badala ya Muhimbili

SERIKALI imetangaza watu wapya 53 ambao wameambukizwa VIRUSI vya Corona nchini na hivyo kufanya jumla ya wagonjwa kufikia 147 tangu kutajwa kwa mgonjwa wa kwanza tarehe 16/03/2020, huku Hospitali ya Rufaa ya Amana ikiagizwa rasmi kupokea wagonjwa wenye dalili ya ugonjwa wa Corona badala ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee, na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu  wakati akipokea misaada kutoka katika kampuni mbalimbali kwa ajili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TAG yatembelea wagonjwa wa saratani

WAUMINI wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) jana waliwatembelea wagonjwa wa saratani waliopo kwenye Taasisi ya Saratani Ocean Road jijini Dar es Salaam na kugawa vitu mbalimbali vyenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani