Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Bugando afanyiwa ya Ulimboka

RAIS wa Chuo Kikuu cha CUHAS (Bugando) na Mwenyekiti wa Shirikisho la wanafunzi vyuo vikuu nchini (TAHLISO), Mussa Mdede ameokotwa akiwa amepoteza fahamu baada ya kutekwa nyara na watu wasiojulikana....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Rais Chuo Kikuu Bugando hajarudisha kumbukumbu

>Rais wa Serikali ya Wanafunzi Chuo Kikuu cha Sayansi ya Afya na Tiba cha Bugando (Cuhas), Musa Mdede ambaye alitoweka katika mazingira ya kutatanisha Juni 17, mwaka huu bado hatambui alikuwa wapi.

 

11 years ago

Mwananchi

Rais Chuo Kikuu Bugando aokotwa akiwa hoi Mwanza

>Rais wa Serikali ya Wanafunzi Chuo Kikuu cha Sayansi ya Afya na Tiba Bugando (Cuhas), Mussa Mdede ambaye alitoweka katika mazingira ya kutatanisha Juni 17, mwaka huu ameokotwa eneo la Busagara mkoani hapa akiwa hajitambui.

 

10 years ago

Habarileo

Rais Kikwete afanyiwa upasuaji

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Daktari Bingwa Mpasuaji, Edward Shaeffer, muda mfupi kabla ya kuingia kwenye chumba cha upasuaji, uliofanyika katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyopo Baltimore Maryland, Marekani Jumamosi asubuhi. Upasuaji huo uliochukua muda wa saa moja na nusu, ulifanyika salama. (Picha na Ikulu).RAIS Jakaya Kikwete amefanyiwa upasuaji wa tezi dume katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore, Jimbo la Maryland, Marekani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Rais Kikwete afanyiwa upasuaji tezidume

RAIS Jakaya Kikwete, alfajiri ya juzi alifanyiwa upasuaji wa tezidume (prostrate), katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore, Jimbo la Maryland, Marekani. Taarifa iliyotolewa na Ikulu kwa vyombo vya habari...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume

Jakaya-Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete alfajiri ya Jumamosi, Novemba 8, 2014, alifanyiwa upasuaji wa tezi dume (prostrate) katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore, Jimbo la Maryland, Marekani.

Rais Kikwete amefanyiwa upasuaji huo baada ya madaktari waliomfanyia uchunguzi wa afya yake kujiridhisha kuwa Rais alikuwa anahitaji matibabu ya aina hiyo.

Upasuaji huo uliofanyika...

 

10 years ago

Mtanzania

‘Mwanajeshi’ ateswa kama Ulimboka

mgobaNA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
KIONGOZI wa vijana waliopata mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), waliokuwa wakiishinikiza Serikali kuwapatia ajira, George Mgoba, amelazwa katika Hospitali ya Amana, jijini Dar es Salaam, baada ya kutekwa nyara na kisha kuteswa na watu wasiojulikana.
Mgoba ni miongoni mwa vijana waliowawakilisha wenzao zaidi ya 300 kukutana na viongozi wa juu wa Serikali hivi karibuni, akiwemo Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, kuzungumzia kilio chao na kupinga...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AFANYIWA UPASUAJI WA TEZI DUME MAREKANI, HALI YAKE INAENDELEA VYEMA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na  Dkt.Edward Shaeffer wa  hospitali ya Johns Hopkins (kushoto) na Daktari wa Rais Profesa Mohamed Janabi  (kulia) muda mfupi baada ya kuwasili ili kufanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyopo  Baltimore Maryland Marekani Jumamosi asubuhi.Upasuaji huo uliochukua muda wa saa moja na nusu  ulifanyika salama....

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: Rais Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume Marekani, hali yake inaendelea vyema

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete alfajiri ya jana, Jumamosi, Novemba 8, 2014, alifanyiwa upasuaji wa tezi dume (prostrate) katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore, Jimbo la Maryland, Marekani.  Rais Kikwete amefanyiwa upasuaji huo baada ya madaktari waliomfanyia uchunguzi wa afya yake kujiridhisha kuwa Rais alikuwa anahitaji matibabu ya aina hiyo.  Upasuaji huo uliofanyika alfajiri na kuchukua kiasi cha saa moja unusu, umefanyika salama na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani