Rais Kikwete afanyiwa upasuaji
RAIS Jakaya Kikwete amefanyiwa upasuaji wa tezi dume katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore, Jimbo la Maryland, Marekani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima10 Nov
Rais Kikwete afanyiwa upasuaji tezidume
RAIS Jakaya Kikwete, alfajiri ya juzi alifanyiwa upasuaji wa tezidume (prostrate), katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore, Jimbo la Maryland, Marekani. Taarifa iliyotolewa na Ikulu kwa vyombo vya habari...
10 years ago
Dewji Blog10 Nov
Rais Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete alfajiri ya Jumamosi, Novemba 8, 2014, alifanyiwa upasuaji wa tezi dume (prostrate) katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore, Jimbo la Maryland, Marekani.
Rais Kikwete amefanyiwa upasuaji huo baada ya madaktari waliomfanyia uchunguzi wa afya yake kujiridhisha kuwa Rais alikuwa anahitaji matibabu ya aina hiyo.
Upasuaji huo uliofanyika...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-ft02UTdaDBc/VF9lnHsZrXI/AAAAAAAGwLs/dbY1C0LbhGg/s1600/D92A2468.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AFANYIWA UPASUAJI WA TEZI DUME MAREKANI, HALI YAKE INAENDELEA VYEMA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ft02UTdaDBc/VF9lnHsZrXI/AAAAAAAGwLs/dbY1C0LbhGg/s72-c/D92A2468.jpg)
NEWS ALERT: Rais Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume Marekani, hali yake inaendelea vyema
10 years ago
Mwananchi10 Nov
Kikwete afanyiwa upasuaji Marekani
10 years ago
BBCSwahili09 Nov
Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume
10 years ago
BBCSwahili08 May
Pele afanyiwa upasuaji
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Samaki afanyiwa upasuaji wa ubongo
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Dk. Kijo Bisimba afanyiwa upasuaji
Veronica Romwald na Nicodemas Kikwati (GHITBS), Dar es Salaam
MKURUGENZI wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk. Hellen Kijo Bisimba, amefanyiwa upasuaji wa mguu wa kushoto.
Upasuaji huo umefanyika katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI).
Akizungumza na MTANZANIA jana hospitalini hapo, Dk. Bisimba alisema alifanyiwa upasuaji huo juzi jioni na anaendelea vizuri na matibabu.
“Namshukuru Mungu naendelea vizuri, nimefanyiwa upasuaji na madaktari wameniwekea...