Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwandishi wa Mwananchi ahamishiwa Bugando

Mwandishi wa habari wa gazeti hili, Florence Focus amehamishiwa kwenye Hospitali ya Rufaa Bugando, mkoani hapa kutoka Hospitali ya Serikali ya Mkoa wa Mara kwa matibabu zaidi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mwandishi wa Mwananchi ateuliwa Bunge Maalumu la Katiba

Mwandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd inayochapisha gazeti hili, The Citizen na Mwanaspoti, Salma Said ni mmoja wa wajumbe 201 walioteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuwa Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwandishi Mwananchi ajeruhiwa mikononi mwa polisi

Mwandishi wa habari wa Magazeti ya Mwananchi Communications Ltd, mkoani Geita, Salum Maige amejeruhiwa vibaya jichoni baada ya kushambuliwa na kundi la watu wanaodaiwa kuwa ni askari wa Kituo cha Polisi Geita.

 

9 years ago

Mwananchi

CCM yamtimua mwandishi wa Mwananchi kwa Magufuli

Mwandishi wa gazeti la Mwananchi, Peter Elias ameondolewa kwenye kikosi cha waandishi wa habari wanaoandika habari za kampeni za uchaguzi za mgombea wa CCM, Dk John Magufuli kwa madai kuwa aliandika habari isiyostahili.

 

9 years ago

Mtanzania

Chagonja ahamishiwa Zimamoto

BINa Mwandishi Wetu

AMIRI Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Dk. John Magufuli amefanya mabadiliko madogo ya utendaji ndani ya Jeshi la Polisi kwa kumhamisha Kamishina wa Operesheni na Mafunzo, CP Paul Chagonja.

Habari za uhakika zilizopatikana mjini Dar es Salaam jana, zinasema Rais Magufuli amemteua Kamishina Chagonja kuwa Kamishina mpya wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.

“Rais amefanya mabadiliko madogo ndani ya Jeshi la Polisi, amemhamisha Kamishina Chagonja tangu jana (juzi)...

 

9 years ago

Mwananchi

Mgombea ubunge ‘aliyetekwa’ ahamishiwa Muhimbili

Siku moja baada ya kupatikana kwa mgombea ubunge wa Chadema Jimbo la Mtwara Mjini, Joel Nanauka anayedaiwa kutekwa Jumatatu iliyopita amehamishiwa kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili MNH kwa ajili ya uchunguzi zaidi.

 

9 years ago

Michuzi

Balozi Peter A. Kallaghe ahamishiwa brazil


Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemuhamisha kituo Balozi Peter A. Kallaghe (pichani) aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza kwenda kuwa Balozi wa Tanzania nchini Brazil. Uhamisho huo unaanzia tarehe 23 Oktoba, 2015.

 Imetolewa na:Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,

Dar es Salaam


28 Oktoba, 2015

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto aliyeishi kwenye boksi, ahamishiwa Muhimbili

Mtoto aliyekuwa amefichwa kwenye boksi mkoani Morogoro, Nasra Mvungi ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro, amehamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), kwa uchunguzi zaidi.

 

11 years ago

GPL

MWENYEKITI WA CHADEMA WILAYA YA TEMEKE JOSEPH YONA AHAMISHIWA MOI

Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Temeke na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Joseph Yona akipelekwa Kitengo cha Mifupa Muhimbili (MOI) kutoka wodini. ...Baadhi ya majeraha aliyoyapata Yona baada ya kupigwa na watu…

 

10 years ago

Vijimambo

JK AMTEUA HAULE BALOZI MPYA KENYA, BATILDA AHAMISHIWA TOKYO JAPAN

Balozi mpya wa Tanzania, Tokyo JAPAN, DK Batilda Salha Buriani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani