CCM yamtimua mwandishi wa Mwananchi kwa Magufuli
Mwandishi wa gazeti la Mwananchi, Peter Elias ameondolewa kwenye kikosi cha waandishi wa habari wanaoandika habari za kampeni za uchaguzi za mgombea wa CCM, Dk John Magufuli kwa madai kuwa aliandika habari isiyostahili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Mwandishi wa Mwananchi ahamishiwa Bugando
Mwandishi wa habari wa gazeti hili, Florence Focus amehamishiwa kwenye Hospitali ya Rufaa Bugando, mkoani hapa kutoka Hospitali ya Serikali ya Mkoa wa Mara kwa matibabu zaidi.
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Mwandishi wa Mwananchi ateuliwa Bunge Maalumu la Katiba
Mwandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd inayochapisha gazeti hili, The Citizen na Mwanaspoti, Salma Said ni mmoja wa wajumbe 201 walioteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuwa Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Mwandishi Mwananchi ajeruhiwa mikononi mwa polisi
Mwandishi wa habari wa Magazeti ya Mwananchi Communications Ltd, mkoani Geita, Salum Maige amejeruhiwa vibaya jichoni baada ya kushambuliwa na kundi la watu wanaodaiwa kuwa ni askari wa Kituo cha Polisi Geita.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VLf6J4PykmA/XunPEaNmcOI/AAAAAAALuL4/BnCny-4bfyITdCFNDMbcOv9n3zsdhWRcACLcBGAsYHQ/s72-c/d819a5cb-299f-4675-82c1-c84eb1da8c78.jpg)
DKT.MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM...WANA CCM WAIMBA 'MAGUFULI BABA LAOO'
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amechukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo Juni 17,mwaka 2020 katika Makao ya Chama hicho Jijini Dodoma.
Dk.Magufuli anachukua fomu hiyo kwa ajili ya kuomba tena ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM ikiwa ni awamu ya pili baada ya kumaliza awamu ya kwanza ya miaka mitano iliyoanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2020.Uchuguzi Mkuu mwaka huu unatarajia kufanyika...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kTugum0Lk4w/VjMoe6HeKGI/AAAAAAAIDdU/PVlkQr8icJs/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
PONGEZI KWA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKA KWA WANACHAMA WA CCM,TAWI LA CCM CHINA
![](http://1.bp.blogspot.com/-kTugum0Lk4w/VjMoe6HeKGI/AAAAAAAIDdU/PVlkQr8icJs/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
5 years ago
The Citizen Daily02 Mar
VIDEO: CCM's Secretary General Dr Bashiru Ally at Mwananchi Communications Headquaters
VIDEO: CCM's Secretary General Dr Bashiru Ally at Mwananchi Communications Headquaters The Citizen Daily
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
CCM yamwomba radhi mwandishi
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mara kimeomba radhi kwa Chama cha Waandishi wa Habari mkoani Mara (MRPC) kutokana na kitendo kinachodaiwa kufanywa na wafuasi wa chama hicho, kwa kumpiga mwandishi...
11 years ago
Mwananchi13 Feb
CCM waomba radhi kumshambulia mwandishi
Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mara, kimeomba radhi kwa chama cha waandishi wa habari mkoani humo (MRPC) kutokana na kitendo kilichofanywa na wafuasi wa chama hicho tawala, kwa kumpiga mwandishi wa habari wa gazeti hili na kusema kuwa waliohusika watachukuliwa hatua.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kwa nini ni muhimu kwa mwananchi kushiriki katika mchakato wa bajeti ya serikali?
Unafahamu nini kuhusu mchakato wa kutengeneza bajeti?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania