Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yamtimua mwandishi wa Mwananchi kwa Magufuli

Mwandishi wa gazeti la Mwananchi, Peter Elias ameondolewa kwenye kikosi cha waandishi wa habari wanaoandika habari za kampeni za uchaguzi za mgombea wa CCM, Dk John Magufuli kwa madai kuwa aliandika habari isiyostahili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mwandishi wa Mwananchi ahamishiwa Bugando

Mwandishi wa habari wa gazeti hili, Florence Focus amehamishiwa kwenye Hospitali ya Rufaa Bugando, mkoani hapa kutoka Hospitali ya Serikali ya Mkoa wa Mara kwa matibabu zaidi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwandishi wa Mwananchi ateuliwa Bunge Maalumu la Katiba

Mwandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd inayochapisha gazeti hili, The Citizen na Mwanaspoti, Salma Said ni mmoja wa wajumbe 201 walioteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuwa Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwandishi Mwananchi ajeruhiwa mikononi mwa polisi

Mwandishi wa habari wa Magazeti ya Mwananchi Communications Ltd, mkoani Geita, Salum Maige amejeruhiwa vibaya jichoni baada ya kushambuliwa na kundi la watu wanaodaiwa kuwa ni askari wa Kituo cha Polisi Geita.

 

5 years ago

Michuzi

DKT.MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM...WANA CCM WAIMBA 'MAGUFULI BABA LAOO'


Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amechukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo Juni 17,mwaka 2020 katika Makao ya Chama hicho Jijini Dodoma.
Dk.Magufuli anachukua fomu hiyo kwa ajili ya kuomba tena ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM ikiwa ni awamu ya pili baada ya kumaliza awamu ya kwanza ya miaka mitano iliyoanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2020.Uchuguzi Mkuu mwaka huu unatarajia kufanyika...

 

9 years ago

Michuzi

PONGEZI KWA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKA KWA WANACHAMA WA CCM,TAWI LA CCM CHINA

TAWI LA CCM CHINA TUNAKUPONGEZA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KWA KUCHAGULIWA KWA KURA NYINGI KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WA AWAMU YA TANO.TUNAKUTAKIA AFYA NJEMA NA MAFANIKIO KATIKA KIPINDI CHA UONGOZI WA JUU WA NCHI YETU.

 

5 years ago

The Citizen Daily

VIDEO: CCM's Secretary General Dr Bashiru Ally at Mwananchi Communications Headquaters

VIDEO: CCM's Secretary General Dr Bashiru Ally at Mwananchi Communications Headquaters  The Citizen Daily

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yamwomba radhi mwandishi

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mara kimeomba radhi kwa Chama cha Waandishi wa Habari mkoani Mara (MRPC) kutokana na kitendo kinachodaiwa kufanywa na wafuasi wa chama hicho, kwa kumpiga mwandishi...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM waomba radhi kumshambulia mwandishi

Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mara, kimeomba radhi kwa chama cha waandishi wa habari mkoani humo (MRPC) kutokana na kitendo kilichofanywa na wafuasi wa chama hicho tawala, kwa kumpiga mwandishi wa habari wa gazeti hili na kusema kuwa waliohusika watachukuliwa hatua.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwa nini ni muhimu kwa mwananchi kushiriki katika mchakato wa bajeti ya serikali?

Unafahamu nini kuhusu mchakato wa kutengeneza bajeti?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani