Chagonja ahamishiwa Zimamoto
Na Mwandishi Wetu
AMIRI Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Dk. John Magufuli amefanya mabadiliko madogo ya utendaji ndani ya Jeshi la Polisi kwa kumhamisha Kamishina wa Operesheni na Mafunzo, CP Paul Chagonja.
Habari za uhakika zilizopatikana mjini Dar es Salaam jana, zinasema Rais Magufuli amemteua Kamishina Chagonja kuwa Kamishina mpya wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.
“Rais amefanya mabadiliko madogo ndani ya Jeshi la Polisi, amemhamisha Kamishina Chagonja tangu jana (juzi)...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania31 Jan
Lema amshambulia Polisi Chagonja
Na Maregesi Paul, Dodoma
MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), jana alimshambulia kwa maneno makali Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja, kuwa anaweza kuwa anashirikiana na majambazi wanaovamia vituo vya polisi na kupora silaha.
Lema alitoa maneno hayo makali ya kumshambulia Chagonja bungeni jana, wakati akichangia taarifa za Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali Kuu (PAC) na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC).
Akichangia hoja...
10 years ago
GPL
NIMESHTUSHWA; CHAGONJA KUHUSISHWA NA UPORAJI SILAHA
11 years ago
Michuzi
IGP MANGU, CHAGONJA WAKEMEA UHALIFU

11 years ago
Mwananchi09 Sep
Mwandishi wa Mwananchi ahamishiwa Bugando
9 years ago
Michuzi
WANANCHI WATAKIWA KULINDA AMANI YA NCHI - CP CHAGONJA

JESHI la Polisi limewataka wananchi kuendelea na utulivu kama walivyoonyesha wakati wa upigaji kura na hatimaye kupatikana katika siku ya uampishwaji wa Rais Mteule Dk. John Pombe Magufuli.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, Kamishina wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi hilo, Paul Chagonja amesema kuwa jeshi la polisi limeridhishwa na utulivu uliokuwepo wakati wa upigaji kura, na utulivu huo umeweza kufanya uchaguzi kwenda salama na hatimaye...
10 years ago
IPPmedia28 Jun
The Commissioner for Operations at Police Headquarters, Paul Chagonja
IPPmedia
IPPmedia
Controversial reports circulated among the public early yesterday via a private radio broadcast that the Somali terrorist group Al-Shabaab had organized a terror mission at Mziha village in Mvomero District, Morogoro Region. But later police in region refuted ...
10 years ago
Michuzi
Balozi Peter A. Kallaghe ahamishiwa brazil


28 Oktoba, 2015
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Mgombea ubunge ‘aliyetekwa’ ahamishiwa Muhimbili
11 years ago
Mwananchi28 May
Mtoto aliyeishi kwenye boksi, ahamishiwa Muhimbili