Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chagonja ahamishiwa Zimamoto

BINa Mwandishi Wetu

AMIRI Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Dk. John Magufuli amefanya mabadiliko madogo ya utendaji ndani ya Jeshi la Polisi kwa kumhamisha Kamishina wa Operesheni na Mafunzo, CP Paul Chagonja.

Habari za uhakika zilizopatikana mjini Dar es Salaam jana, zinasema Rais Magufuli amemteua Kamishina Chagonja kuwa Kamishina mpya wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.

“Rais amefanya mabadiliko madogo ndani ya Jeshi la Polisi, amemhamisha Kamishina Chagonja tangu jana (juzi)...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Lema amshambulia Polisi Chagonja

Paul Chagonjapg6Na Maregesi Paul, Dodoma

MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), jana alimshambulia kwa maneno makali Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja, kuwa anaweza kuwa anashirikiana na majambazi wanaovamia vituo vya polisi na kupora silaha.

Lema alitoa maneno hayo makali ya kumshambulia Chagonja bungeni jana, wakati akichangia taarifa za Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali Kuu (PAC) na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC).
Akichangia hoja...

 

10 years ago

GPL

NIMESHTUSHWA; CHAGONJA KUHUSISHWA NA UPORAJI SILAHA

Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Paul Chagonja. MIMI si Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi kama alivyo Paul Chagonja wala siyo mwakilishi wa wananchi wote, lakini linapokuja suala la falfasa ya uongozi ni IMANI nalazimika kuwa Chagonja na pia mwakilishi wa wananchi wote. Kabla sijasonga mbele na makala haya naomba ninukuu kauli ya Mbunge wa Arusha Mjini aliyoitoa bungeni mwishoni mwa wiki...

 

11 years ago

Michuzi

IGP MANGU, CHAGONJA WAKEMEA UHALIFU

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu Na Frank Geofray wa  Jeshi la Polisi, Moshi. Jeshi la Polisi Nchini litaendelea kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia na vitendo vya mauaji yanayosababishwa na Imani za kishirikina kwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya madhara ya vitendo hivyo. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu katika mkutano mkuu wa maofisa wakuu waandamizi unaoendelea katika chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA) ukiwa na kauli...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwandishi wa Mwananchi ahamishiwa Bugando

Mwandishi wa habari wa gazeti hili, Florence Focus amehamishiwa kwenye Hospitali ya Rufaa Bugando, mkoani hapa kutoka Hospitali ya Serikali ya Mkoa wa Mara kwa matibabu zaidi.

 

9 years ago

Michuzi

WANANCHI WATAKIWA KULINDA AMANI YA NCHI - CP CHAGONJA

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
JESHI la Polisi limewataka wananchi kuendelea na utulivu kama walivyoonyesha wakati wa upigaji kura na hatimaye kupatikana katika siku ya uampishwaji wa Rais Mteule Dk. John Pombe Magufuli.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, Kamishina wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi hilo, Paul Chagonja amesema kuwa jeshi la polisi limeridhishwa na utulivu uliokuwepo wakati wa upigaji kura, na utulivu huo umeweza kufanya uchaguzi kwenda salama na hatimaye...

 

10 years ago

IPPmedia

The Commissioner for Operations at Police Headquarters, Paul Chagonja


IPPmedia
The Commissioner for Operations at Police Headquarters, Paul Chagonja
IPPmedia
Controversial reports circulated among the public early yesterday via a private radio broadcast that the Somali terrorist group Al-Shabaab had organized a terror mission at Mziha village in Mvomero District, Morogoro Region. But later police in region refuted ...

 

9 years ago

Michuzi

Balozi Peter A. Kallaghe ahamishiwa brazil


Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemuhamisha kituo Balozi Peter A. Kallaghe (pichani) aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza kwenda kuwa Balozi wa Tanzania nchini Brazil. Uhamisho huo unaanzia tarehe 23 Oktoba, 2015.

 Imetolewa na:Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,

Dar es Salaam


28 Oktoba, 2015

 

9 years ago

Mwananchi

Mgombea ubunge ‘aliyetekwa’ ahamishiwa Muhimbili

Siku moja baada ya kupatikana kwa mgombea ubunge wa Chadema Jimbo la Mtwara Mjini, Joel Nanauka anayedaiwa kutekwa Jumatatu iliyopita amehamishiwa kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili MNH kwa ajili ya uchunguzi zaidi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto aliyeishi kwenye boksi, ahamishiwa Muhimbili

Mtoto aliyekuwa amefichwa kwenye boksi mkoani Morogoro, Nasra Mvungi ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro, amehamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), kwa uchunguzi zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani