NIMESHTUSHWA; CHAGONJA KUHUSISHWA NA UPORAJI SILAHA
![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pyjq7euVEEsjSu0LmIlLqw7O65rmBTQWa3eHbqXcKE*Dag3tnmvk1Taz0Pd9hManwLFsgv6KD5NHTJJNpO*iM4sJ/CHAGONJA.jpg?width=650)
Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Paul Chagonja. MIMI si Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi kama alivyo Paul Chagonja wala siyo mwakilishi wa wananchi wote, lakini linapokuja suala la falfasa ya uongozi ni IMANI nalazimika kuwa Chagonja na pia mwakilishi wa wananchi wote. Kabla sijasonga mbele na makala haya naomba ninukuu kauli ya Mbunge wa Arusha Mjini aliyoitoa bungeni mwishoni mwa wiki...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Jul
MAONI : Uporaji silaha polisi, mamlaka zizinduke
9 years ago
StarTV20 Nov
Mtuhumiwa utekaji malori, uporaji ameuawa akijaribu Kumpora Silaha Polisi
Kijana mmoja aliyekuwa anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuteka malori matano eneo la Milade barabara kuu ya Singida-Mwanza na kuwapora abiria mali na fedha ameuawa kwa kupigwa risasi wakati akijaribu kumvamia askari na kumnyang’anya silaha ili atoroke chini ya ulinzi.
Kijana huyo Dotto Wiliam mwenye miaka 30 mkazi wa Kibaoni Mjini Singida anadaiwa kukiri kutega mawe barabarani na kupora, jana majira ya saa tano usiku na kukubali kwenda pori la Minyunge-Singida kuonesha bunduki aliyoficha...
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Chagonja ahamishiwa Zimamoto
Na Mwandishi Wetu
AMIRI Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Dk. John Magufuli amefanya mabadiliko madogo ya utendaji ndani ya Jeshi la Polisi kwa kumhamisha Kamishina wa Operesheni na Mafunzo, CP Paul Chagonja.
Habari za uhakika zilizopatikana mjini Dar es Salaam jana, zinasema Rais Magufuli amemteua Kamishina Chagonja kuwa Kamishina mpya wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.
“Rais amefanya mabadiliko madogo ndani ya Jeshi la Polisi, amemhamisha Kamishina Chagonja tangu jana (juzi)...
10 years ago
Mtanzania31 Jan
Lema amshambulia Polisi Chagonja
Na Maregesi Paul, Dodoma
MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), jana alimshambulia kwa maneno makali Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja, kuwa anaweza kuwa anashirikiana na majambazi wanaovamia vituo vya polisi na kupora silaha.
Lema alitoa maneno hayo makali ya kumshambulia Chagonja bungeni jana, wakati akichangia taarifa za Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali Kuu (PAC) na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC).
Akichangia hoja...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ExWs59FKLxc/UwR-akta46I/AAAAAAAFN8M/Bpgx48W9qg0/s72-c/igp+mangu.gif)
IGP MANGU, CHAGONJA WAKEMEA UHALIFU
![](http://2.bp.blogspot.com/-ExWs59FKLxc/UwR-akta46I/AAAAAAAFN8M/Bpgx48W9qg0/s1600/igp+mangu.gif)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qV4cj8sfEeA/VjmmC1rtGuI/AAAAAAAAve8/wuJWoKHaxsY/s72-c/chagonja.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KULINDA AMANI YA NCHI - CP CHAGONJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qV4cj8sfEeA/VjmmC1rtGuI/AAAAAAAAve8/wuJWoKHaxsY/s320/chagonja.jpg)
JESHI la Polisi limewataka wananchi kuendelea na utulivu kama walivyoonyesha wakati wa upigaji kura na hatimaye kupatikana katika siku ya uampishwaji wa Rais Mteule Dk. John Pombe Magufuli.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, Kamishina wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi hilo, Paul Chagonja amesema kuwa jeshi la polisi limeridhishwa na utulivu uliokuwepo wakati wa upigaji kura, na utulivu huo umeweza kufanya uchaguzi kwenda salama na hatimaye...
10 years ago
IPPmedia28 Jun
The Commissioner for Operations at Police Headquarters, Paul Chagonja
IPPmedia
IPPmedia
Controversial reports circulated among the public early yesterday via a private radio broadcast that the Somali terrorist group Al-Shabaab had organized a terror mission at Mziha village in Mvomero District, Morogoro Region. But later police in region refuted ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa69wmmAtUesjixnZRR4btYFfIds3lj8CPYbGa0einsEGUZBg*wCC5eabsvWLqR8lTFSjchBsfNQd0MMuTjBK7zh/lemapix.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI GODBLESS LEMA, NINGETHIBITISHA KAULI YANGU KUHUSU CHAGONJA