IGP MANGU, CHAGONJA WAKEMEA UHALIFU
![](http://2.bp.blogspot.com/-ExWs59FKLxc/UwR-akta46I/AAAAAAAFN8M/Bpgx48W9qg0/s72-c/igp+mangu.gif)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu
Na Frank Geofray wa
Jeshi la Polisi, Moshi.
Jeshi la Polisi Nchini litaendelea kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia na vitendo vya mauaji yanayosababishwa na Imani za kishirikina kwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya madhara ya vitendo hivyo.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu katika mkutano mkuu wa maofisa wakuu waandamizi unaoendelea katika chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA) ukiwa na kauli...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Apr
IGP, mashehe wakemea uhalifu
MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu na viongozi wa dini ya Kiislamu nchini, wameungana kukemea vitendo vya uhalifu nchini.
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Karibu IGP Mangu, tunasubiri uhalifu kupungua
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
IGP Mangu awafunda Polisi
MAOFISA na askari Polisi nchini wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa kufuata misingi na maadili ya kazi ili kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP)...
10 years ago
IPPmedia18 Jul
Yes, IGP Mangu, police stations must be guarded
IPPmedia
Last Sunday entered the country's books of records, particularly those kept by the Police after unidentified armed bandits stormed Stakishari Police Station in Dar es Salaam Region, killing seven people, including four police officers. Police reports ...
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
Meya Silaa amlilia IGP Mangu
MEYA wa Ilala, Jerry Silaa amemuomba Mkuu wa Jeshi la Polisi Ernest Mangu kutokubali askari wake kuwa wakala wa sheria za barabara. Silaa alisema hayo katika uchaguzi wa Naibu Meya...
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Makamanda wa Polisi wamzungumzia IGP Mangu
10 years ago
MichuziMAZOEZI YANAJENGA AFYA — IGP MANGU
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-4JG_01MxY-A/VS_aiRcgMSI/AAAAAAAACGE/d9oPOk90yzU/s72-c/igp%2Bmangu.gif)
IGP Mangu awapa neno Waislamu
NA MWANDISHI WETU
MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini, Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu, ameungana na viongozi wa dini ya Kiislamu kukemea vitendo vya uhalifu.
Ili kudhibiti vitendo hivyo, amezitaka familia kutoa malezi bora kwa watoto ili kuondokana na wimbi la watu wanaojiingiza makundi yanayofanya mambo hayo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-4JG_01MxY-A/VS_aiRcgMSI/AAAAAAAACGE/d9oPOk90yzU/s1600/igp%2Bmangu.gif)
IGP Mangu alisema hayo jana katika mafunzo ya kuwajengea uwezo viongozi wa Kiislamu katika kuimarisha usalama nchini yenye kauli mbiu isemayo ‘Amani na usalama ndio maisha...
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
IGP Mangu washughulikie polisi hawa
JESHI la Polisi nchini lilianzishwa kwa lengo la kuwalinda raia na mali zao. Kama yakijitokeza matukio yanayokwenda kinyume cha sheria, linapaswa kuchukua hatua. Katika kulifanya Jeshi la Polisi lifanye shughuli...