Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meya Silaa amlilia IGP Mangu

MEYA wa Ilala, Jerry Silaa amemuomba Mkuu wa Jeshi la Polisi Ernest Mangu kutokubali askari wake kuwa wakala wa sheria za barabara. Silaa alisema hayo katika uchaguzi wa Naibu Meya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MEYA SILAA: DAR ITAKUFA

Mwandishi : Elvan Stambuni na Haruni Sanchawa MEYA wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa amesema ikiwa Halmashauri ya Jiji haitapewa fedha za kutosha na serikali kuu basi Dar itakufa. Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa akifafanua jambo ndani ya chumba cha habari cha Global Publishers, Mwenge, Bamaga jijini Dar. Akizungumza na waandishi wa habari katika safu ya Live Chumba cha Habari na Global TV On Line, Bamaga Mwenge,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

IGP Mangu awafunda Polisi

MAOFISA na askari Polisi nchini wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa kufuata misingi na maadili ya kazi ili kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP)...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yamkalia kooni Meya Silaa

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimempa siku 21 Diwani wa Ukonga, Jerry Silaa, kutoa maelezo ziliko fedha za ujenzi wa ofisi ya kata zaidi ya sh. milioni 175. Chama...

 

11 years ago

Michuzi

IGP MANGU, CHAGONJA WAKEMEA UHALIFU

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu Na Frank Geofray wa  Jeshi la Polisi, Moshi. Jeshi la Polisi Nchini litaendelea kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia na vitendo vya mauaji yanayosababishwa na Imani za kishirikina kwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya madhara ya vitendo hivyo. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu katika mkutano mkuu wa maofisa wakuu waandamizi unaoendelea katika chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA) ukiwa na kauli...

 

11 years ago

Tanzania Daima

IGP Mangu washughulikie polisi hawa

JESHI la Polisi nchini lilianzishwa kwa lengo la kuwalinda raia na mali zao. Kama yakijitokeza matukio yanayokwenda kinyume cha sheria, linapaswa kuchukua hatua. Katika kulifanya Jeshi la Polisi lifanye shughuli...

 

11 years ago

Mwananchi

Makamanda wa Polisi wamzungumzia IGP Mangu

Baadhi ya Makamanda wa Polisi wa mikoa mbalimbali nchini, wamepongeza uteuzi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi, Ernest Mangu huku wakiahidi kushirikiana naye katika mapambano ya kupunguza kama si kutokomeza kabisa uhalifu nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

IGP Mangu apangua makamanda polisi

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu amefanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa mikoa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi Shinyanga wamdhalilisha IGP Mangu

BAADHI ya wakazi wa mjini hapa wamepigwa na butwaa kuwaona baadhi ya maofisa wa polisi wakitembeza bakuli mitaani wakiomba mchango wa fedha kwa ajili ya ukarabati wa magari mabovu ya...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

IGP Mangu awapa neno Waislamu


NA MWANDISHI WETU
MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini, Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu, ameungana na viongozi wa dini ya Kiislamu kukemea vitendo vya uhalifu.
Ili kudhibiti vitendo hivyo, amezitaka familia kutoa malezi bora kwa watoto  ili kuondokana na wimbi la watu wanaojiingiza makundi yanayofanya mambo hayo.

IGP Mangu alisema hayo jana katika  mafunzo ya kuwajengea uwezo viongozi wa Kiislamu katika kuimarisha usalama nchini yenye kauli mbiu isemayo ‘Amani na usalama ndio maisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani