Meya Silaa amlilia IGP Mangu
MEYA wa Ilala, Jerry Silaa amemuomba Mkuu wa Jeshi la Polisi Ernest Mangu kutokubali askari wake kuwa wakala wa sheria za barabara. Silaa alisema hayo katika uchaguzi wa Naibu Meya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2NTm1p4ECzwvfgeZ39CaB9Bui5gEPbT4FbcA5jcrWJS*ARaAZ99*7X-ul4*z3Jbh*HysjsoGfVCD3bvLPm7nu67/slaa.jpg?width=650)
MEYA SILAA: DAR ITAKUFA
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
IGP Mangu awafunda Polisi
MAOFISA na askari Polisi nchini wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa kufuata misingi na maadili ya kazi ili kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP)...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
CHADEMA yamkalia kooni Meya Silaa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimempa siku 21 Diwani wa Ukonga, Jerry Silaa, kutoa maelezo ziliko fedha za ujenzi wa ofisi ya kata zaidi ya sh. milioni 175. Chama...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ExWs59FKLxc/UwR-akta46I/AAAAAAAFN8M/Bpgx48W9qg0/s72-c/igp+mangu.gif)
IGP MANGU, CHAGONJA WAKEMEA UHALIFU
![](http://2.bp.blogspot.com/-ExWs59FKLxc/UwR-akta46I/AAAAAAAFN8M/Bpgx48W9qg0/s1600/igp+mangu.gif)
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
IGP Mangu washughulikie polisi hawa
JESHI la Polisi nchini lilianzishwa kwa lengo la kuwalinda raia na mali zao. Kama yakijitokeza matukio yanayokwenda kinyume cha sheria, linapaswa kuchukua hatua. Katika kulifanya Jeshi la Polisi lifanye shughuli...
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Makamanda wa Polisi wamzungumzia IGP Mangu
11 years ago
Mwananchi06 Feb
IGP Mangu apangua makamanda polisi
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Polisi Shinyanga wamdhalilisha IGP Mangu
BAADHI ya wakazi wa mjini hapa wamepigwa na butwaa kuwaona baadhi ya maofisa wa polisi wakitembeza bakuli mitaani wakiomba mchango wa fedha kwa ajili ya ukarabati wa magari mabovu ya...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-4JG_01MxY-A/VS_aiRcgMSI/AAAAAAAACGE/d9oPOk90yzU/s72-c/igp%2Bmangu.gif)
IGP Mangu awapa neno Waislamu
NA MWANDISHI WETU
MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini, Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu, ameungana na viongozi wa dini ya Kiislamu kukemea vitendo vya uhalifu.
Ili kudhibiti vitendo hivyo, amezitaka familia kutoa malezi bora kwa watoto ili kuondokana na wimbi la watu wanaojiingiza makundi yanayofanya mambo hayo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-4JG_01MxY-A/VS_aiRcgMSI/AAAAAAAACGE/d9oPOk90yzU/s1600/igp%2Bmangu.gif)
IGP Mangu alisema hayo jana katika mafunzo ya kuwajengea uwezo viongozi wa Kiislamu katika kuimarisha usalama nchini yenye kauli mbiu isemayo ‘Amani na usalama ndio maisha...