MEYA SILAA: DAR ITAKUFA
![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2NTm1p4ECzwvfgeZ39CaB9Bui5gEPbT4FbcA5jcrWJS*ARaAZ99*7X-ul4*z3Jbh*HysjsoGfVCD3bvLPm7nu67/slaa.jpg?width=650)
Mwandishi : Elvan Stambuni na Haruni Sanchawa MEYA wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa amesema ikiwa Halmashauri ya Jiji haitapewa fedha za kutosha na serikali kuu basi Dar itakufa. Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa akifafanua jambo ndani ya chumba cha habari cha Global Publishers, Mwenge, Bamaga jijini Dar. Akizungumza na waandishi wa habari katika safu ya Live Chumba cha Habari na Global TV On Line, Bamaga Mwenge,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
CHADEMA yamkalia kooni Meya Silaa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimempa siku 21 Diwani wa Ukonga, Jerry Silaa, kutoa maelezo ziliko fedha za ujenzi wa ofisi ya kata zaidi ya sh. milioni 175. Chama...
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
Meya Silaa amlilia IGP Mangu
MEYA wa Ilala, Jerry Silaa amemuomba Mkuu wa Jeshi la Polisi Ernest Mangu kutokubali askari wake kuwa wakala wa sheria za barabara. Silaa alisema hayo katika uchaguzi wa Naibu Meya...
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Meya Silaa akabidhi magari ya Airtel Yatosha
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salam
MEYA wa Ilala, Jerry Silaa, amekabidhi magari kwa washindi saba wa promosheni ya Airtel Yatosha promosheni inayoendeshwa na Kampuni ya Simu ya Airtel kwa wateja wa bando za Yatosha Zaidi.
Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana na washindi hao waliotangazwa wiki iliyopita kukabidhiwa magari yao mapya aina ya Toyota IST.
Washindi hao ni mamalishe mkazi wa Dar es Salaam, Sakina Mshamu Libwana, mganga wa tiba asilia kutoka Katavi Said Mashiko, utingo wa...
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
Meya Jerry Silaa asimamisha ujenzi wa majengo Ilala
Mstahiki Meya wa Meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (mwenye miwani) akiambatana na viongozi wenzake wametembelea na kupima uzio wa mabati unaowekwa na wakandarasi wengi bila kulipiwa vibali,kulipiwa vibali kiwango kidogo kwa kuchakachua vipimo na kutovilipia kila mwaka.
Mkuu wa kitengo cha mazingira wa manispaa ya Ilala Themi Luther (katikati) akimpatia maelekezo .Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa (kushoto) kuhusiana na usanifu wa jengo kwenye makutano ya mitaa ya Aggrey na...
11 years ago
GPLMEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Wfm8dO1_50Q/VZo8XgpAZ-I/AAAAAAAAe3Q/QPZnlFKfAHM/s72-c/p11.jpg)
MEYA JERRY SILAA WA ILALA ATANGAZA RASMI KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA UKONGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Wfm8dO1_50Q/VZo8XgpAZ-I/AAAAAAAAe3Q/QPZnlFKfAHM/s640/p11.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MiegnJV85NU/VZo8YxKfvHI/AAAAAAAAe3Y/1ald8MaJYj4/s640/s1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XaXT_YVhKBA/VZo8bd64gxI/AAAAAAAAe3o/_IajlyM0g2k/s640/p3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Sep
Mstahiki Meya wa Ilala Jerry Silaa ashusha neema kwa shule ya msingi Kivuleâ€â€Ž
Meza kuu ikiwa imepambwa na viongozi mbalimbali kwaajili ya kupokea msaada wa madawati.
Meya wa manispaa ya Ilala Jerry silaa akabidhi msaada wa madawati mia moja katika shule ya msingi kivule iliyopo jijini dar es salaam ikiwa ni mpango aliouanzisha na kuanza kuutekeleza kupitia (Mayors Ball) katika mpango huo madawati hayo yamekabidhiwa kwa mwalimu mkuu wa shue hiyo pamoja na diwani wa kata ya kivule na afisa elimu wa manispaa ya ilala walikuwepo katika shuguli hiyo ya kupokea msaada...
11 years ago
Michuzi08 Mar