Karibu IGP Mangu, tunasubiri uhalifu kupungua
>Juzi, Amiri Jeshi Mkuu, Rais Jakaya Kikwete, alimwapisha Ernest Mangu kuwa Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) akichukua nafasi iliyoachwa na Said Mwema ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ExWs59FKLxc/UwR-akta46I/AAAAAAAFN8M/Bpgx48W9qg0/s72-c/igp+mangu.gif)
IGP MANGU, CHAGONJA WAKEMEA UHALIFU
![](http://2.bp.blogspot.com/-ExWs59FKLxc/UwR-akta46I/AAAAAAAFN8M/Bpgx48W9qg0/s1600/igp+mangu.gif)
5 years ago
MichuziPolisi Mpwapwa Wapongezwa Uhalifu kupungua
Na Mwandishi Wetu, Mpwapwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ameupongeza...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Polisi yajivunia kupungua uhalifu Rukwa
MATUKIO ya mauaji ya kikatili yanayosababishwa na imani za kishirikina mkoani Rukwa yamepungua hadi kufikia matukio 30 kwa kipindi cha mwaka jana ukilinganisha na matukio 37 yaliyoripotiwa mwaka 2012. Kwa...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
IGP Mangu awafunda Polisi
MAOFISA na askari Polisi nchini wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa kufuata misingi na maadili ya kazi ili kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP)...
10 years ago
MichuziMAZOEZI YANAJENGA AFYA — IGP MANGU
10 years ago
IPPmedia18 Jul
Yes, IGP Mangu, police stations must be guarded
IPPmedia
Last Sunday entered the country's books of records, particularly those kept by the Police after unidentified armed bandits stormed Stakishari Police Station in Dar es Salaam Region, killing seven people, including four police officers. Police reports ...
10 years ago
Michuzi18 Nov
IGP MANGU AONGEZA ASKARI KITETO
![E88A9486](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/E88A9486.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini,IGP Ernest Mangu akimsikiliza Diwani wa Kata ya Matui Wilayani Kiteto Bw.Athuman Kidawa wakati alipofanya ziara wilayani humo kufuatia kuwepo kwa migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji iliyosababisha kutokea mapigano yaliyosababisha kutokea kwa vifo.kushoto ni Afisa tarafa wa Matui Bw.Eliakimu Ndelekwa.(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi)
![E88A9514](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/E88A9514.jpg)
10 years ago
Vijimambo29 Sep
IGP ERNEST MANGU NINGENG’ATUKA
![](http://api.ning.com/files/zLSzH-96bg*NojYLwn9tye1vVy90OFeV0Gny3mOwBsbY9PwLJv1rMOcLqB23zEvmwnCEgsUuVxAiIgV5JKsVtiMO3RjBovwT/IGP_ErnestMangu5.jpg?width=650)
10 years ago
Mtanzania23 Sep
Chadema ngangari, IGP Mangu aonya
![Dk. Wilbrod Slaa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Willibrod-Slaa.jpg)
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa
NA WAANDISHI WETU, DAR NA MIKOANI
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kuwa ngangari kwa kusisitiza kuwa maandamano yake yako palepale.
Chadema kimesema kuwa watajilinda wenyewe katika mikutano yao kwa sababu wana vijana waliopata mafunzo ya ulinzi na usalama.
Chama hicho jana kilitangaza kuanza kutekeleza maazimio ya mkutano wake mkuu kwa ajili ya kufanya maandamano na migomo isiyo na ukomo nchi nzima.
Wakati Chadema wakisisitiza...