Mtuhumiwa utekaji malori, uporaji ameuawa akijaribu Kumpora Silaha Polisi
Kijana mmoja aliyekuwa anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuteka malori matano eneo la Milade barabara kuu ya Singida-Mwanza na kuwapora abiria mali na fedha ameuawa kwa kupigwa risasi wakati akijaribu kumvamia askari na kumnyang’anya silaha ili atoroke chini ya ulinzi.
Kijana huyo Dotto Wiliam mwenye miaka 30 mkazi wa Kibaoni Mjini Singida anadaiwa kukiri kutega mawe barabarani na kupora, jana majira ya saa tano usiku na kukubali kwenda pori la Minyunge-Singida kuonesha bunduki aliyoficha...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM31 Dec
10 years ago
Mwananchi15 Jul
MAONI : Uporaji silaha polisi, mamlaka zizinduke
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Utekaji malori wasababisha maelfu kukwama Nzega
10 years ago
GPL
NIMESHTUSHWA; CHAGONJA KUHUSISHWA NA UPORAJI SILAHA
5 years ago
Michuzi
JESHI LA POLISI DAR LAWASHIKILIA WATU WATANO WALIOMKATA MAPANGA NA KUMPORA OFISA WA SERIKALI, WALIOBIWA LAPTOP WAITWA POLISI
WATU Watano ambao ni maarufu kwa ukataji watu mapanga maeneo ya Tegeta jijini Dar es Salaam wanashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kukamatwa kutokana na uporaji walioufanya katika nyumba ya Ofisa wa Serikali Victor Nelson Nyirenda ambaye kabla ya kumpora walimkata mapanga kichwani.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amewataja watuhumiwa hao leo Machi 27,2020 kuwa ni Juma John( 27), Japhet Charles( 25), Victor ...
10 years ago
Mwananchi10 Sep
Watu wenye silaha wajeruhi, wapora malori Masasi
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
10 years ago
GPL
ASAKWA NA POLISI KWA UTEKAJI