MAONI : Uporaji silaha polisi, mamlaka zizinduke
Kwa mara ya tisa katika kipindi kifupi cha mwaka mmoja, tumeendelea kushuhudia majanga yakiliandama Jeshi la Polisi nchini kwa baadhi ya vituo vyake kuvamiwa na majambazi na kuporwa silaha, huku baadhi ya askari wake wakiuawa na wengine wakiachwa na vilema vya maisha
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV20 Nov
Mtuhumiwa utekaji malori, uporaji ameuawa akijaribu Kumpora Silaha Polisi
Kijana mmoja aliyekuwa anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuteka malori matano eneo la Milade barabara kuu ya Singida-Mwanza na kuwapora abiria mali na fedha ameuawa kwa kupigwa risasi wakati akijaribu kumvamia askari na kumnyang’anya silaha ili atoroke chini ya ulinzi.
Kijana huyo Dotto Wiliam mwenye miaka 30 mkazi wa Kibaoni Mjini Singida anadaiwa kukiri kutega mawe barabarani na kupora, jana majira ya saa tano usiku na kukubali kwenda pori la Minyunge-Singida kuonesha bunduki aliyoficha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pyjq7euVEEsjSu0LmIlLqw7O65rmBTQWa3eHbqXcKE*Dag3tnmvk1Taz0Pd9hManwLFsgv6KD5NHTJJNpO*iM4sJ/CHAGONJA.jpg?width=650)
NIMESHTUSHWA; CHAGONJA KUHUSISHWA NA UPORAJI SILAHA
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR4ur97VhIdHrwwacMHra1YOjmjnrzAl7RP7DI3YZHKtOrvI*epTTORCUd5H4PNqWuicflqHnYJzsmc*IltS4ZSd/BREAKING.gif)
KITUO CHA POLISI STAKISHARI-UKONGA CHAVAMIWA, POLISI WAUAWA NA KUPORWA SILAHA
10 years ago
Mwananchi20 Jul
Polisi yakamata silaha zilizoibwa Stakishari
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
‘Polisi jamii marufuku kutumia silaha’
KAMISHNA wa Polisi Jamii nchini, Musa Ally Musa, amepiga marufuku Polisi Jamii kutumia silaha za mapanga katika ulinzi badala yake watumie filimbi. Musa alitoa agizo hilo jijini Dar es Salaam...
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Polisi wanasa silaha zingine Mombasa
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SCuf8P6Jn18/VkNQg_FdJOI/AAAAAAAIFVM/XR-XpERgjGg/s72-c/2.jpg)
JESHI LA POLISI LAKAMATA SILAHA 8 NA RISASI 62
![](http://1.bp.blogspot.com/-SCuf8P6Jn18/VkNQg_FdJOI/AAAAAAAIFVM/XR-XpERgjGg/s400/2.jpg)
Akiongea na waandishi wa habari leo, katika ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, Kamishna wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova amesema wahalifu walidhani kuwa Jeshi la Polisi limeweka nguvu katika uchaguzi mkuu na kusahau kufanya misako...