Mgombea ubunge ‘aliyetekwa’ ahamishiwa Muhimbili
Siku moja baada ya kupatikana kwa mgombea ubunge wa Chadema Jimbo la Mtwara Mjini, Joel Nanauka anayedaiwa kutekwa Jumatatu iliyopita amehamishiwa kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili MNH kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 May
Mtoto aliyeishi kwenye boksi, ahamishiwa Muhimbili
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Mgombea ‘aliyetekwa’ Mtwara apatikana, polisi wachunguza
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9iQdVgD7Kbs/VepIvocO0VI/AAAAAAABgFk/BbGHOKLg2Dw/s72-c/Kasim%2BMsham.jpg)
MGOMBEA MWENZA WA UKAWA AMNADI MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KISARAWE RASHID MWISHEHE "KINGWENDU"
![](http://2.bp.blogspot.com/-9iQdVgD7Kbs/VepIvocO0VI/AAAAAAABgFk/BbGHOKLg2Dw/s640/Kasim%2BMsham.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5eDMxtuCzGE/VepIm1dnDxI/AAAAAAABgFE/xIvF9zITspE/s640/umati%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mwdG9uRX5fY/VepIvXFuVjI/AAAAAAABgFg/_onu9TBogyk/s640/umati.jpg)
9 years ago
VijimamboUPDATES: MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA SHINYANGA MJINI INASEMEKANA AMETEKWA NA KUNYANG’ANYWA FOMU YA UBUNGE
Chanzo chetu kilijaribu kuzungumza na mwenezi wa jimbo hilo ili kuthibitisha tukio hilo lakini pia simu ya mgombea ilikuwa haipatikani.
Chanzo chetu kimeongea na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha tukio hilo.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
Chanzo:...
9 years ago
Habarileo19 Sep
Mgombea ubunge wa CUF ahamia CCM
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimepasuka wilayani Mafia, mkoani Pwani, baada ya aliyeidhinishwa kugombea ubunge Mafia, Mohammed Albadawi, kuhama chama hicho na kujiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Mgombea ubunge afyatua risasi hewani
BAADHI ya wakazi wa Kitongoji cha Mchikichini, Kijiji cha Umwe Kaskazini, wilayani Rufiji, usiku wa kuamkia jana waliingiwa hofu kutokana na milio ya risasi.
Mwenyekiti wa kitongoji hicho, Ayub Pimbita, alisema jana kuwa, alipigiwa simu saa nane usiku na kuelezwa kuhusu tukio hilo.
Kwa mujibu wa Pimbita, tukio hilo lilitokana na mmoja wa wagombea ubunge kudaiwa kukutwa akigawa fedha kwa wajumbe ili kuwashawishi wampigie kura ya maoni.
Tukio hilo linadaiwa kutokea kwenye nyumba ya...
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
CUF haitasimamisha mgombea ubunge Kalenga
INAWEZEKANA mnyukano wa kuwania ubunge katika Jimbo la Kalenga ukabaki kwa vyama hasimu ambavyo ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya Chama cha...
10 years ago
Habarileo16 Feb
‘CCM Arusha haijaandaa mgombea Ubunge’
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha, kimesema hakina mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, aliyeandaliwa hadi sasa.
9 years ago
Habarileo13 Dec
Maaskofu, wachungaji wamuombea mgombea ubunge
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia CCM, Philemon Mollel amefanyiwa maombi na maaskofu, wachungaji na waumini zaidi ya 150 wa makanisa ya kiroho zaidi ya kumi jijini Arusha.