‘CCM Arusha haijaandaa mgombea Ubunge’
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha, kimesema hakina mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, aliyeandaliwa hadi sasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi05 Nov
ACT - Wazalendo yapata mgombea ubunge Arusha Mjini
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Mgombea ubunge wa ACT Arusha Mjini amwombea kura Lowassa
10 years ago
Michuzi17 Jul
MGOMBEA UBUNGE VITI MAALUMU ARUSHA,NEEMA AAHIDI KUINUA VIJANA KIUCHUMI
![SAM_3817](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/W2QmuE8khseuPmjLF3vBAROjkvtlA-H97ypAdXS9GBroqKdBH4hEiu5SLSCmctf_5CgXq3_YCpteu861kpljdlJJRM0U_ZC6cMU2kLH-EB1ayTM=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_3817.jpg)
Katibu wa vijana umoja wa vijana UVCCM wilaya ya Arusha mjini Jamali Khimji akimkabidhi fomu ya ubunge viti maalum Bi.Neema Kiusa(27)katika ofisi za umoja huo jijini Arusha, ahaidi kuinua vijana kiuchumi endapo atapata nafasi ya kuwa Mbunge wa vijana Mkoa wa Arusha(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Mgombea ubunge kupita kundi la vijana (UVCCM) Neema Kiusa leo amechukua fomu ya kuwania nafasi ya ubunge viti maalumu Mkoa wa Arusha,ambapo amesema kuwa shauku yake kubwa ni...
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Mgombea Ubunge Arusha , Mustafa Panju apandikiza mbegu ya Upendo, Amani na Mshikamano
![SAM_4682](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/2G7ZeKN7bP0VKyvIMLSi8rCMEgdsCihJjwaTJjflAObkjdzqTGczYdbuhMR3iAYP0JxSRreF2lFxpt_pV21l77q5Mmu9e09tiT4B6GjMjgy9o6I=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4682.jpg)
Mkurugenzi wa Bushback Safaris, Mustafa Panju ambaye ni mtia nia ubunge wa jimbo la Arusha kwa tiketi ya CCM akiwaonyesha kadi ya CCM inayoonyesha imani ya mwanachamana kwa wanahabari pamoja na wadau mbalimbali jijini Arusha, pia alizungumzia kuhusu mchakato wa ndani ya chama kumpata mgombea wa Ubunge wa jimbo la Arusha kupitia CCM siku moja baada ya kumalizika kwa mchakato wa kuzunguka katika kata 25 za kuomba kura kwa wananchama wa chama hicho,aliwataka wananchi kumchagua mwanachama...
10 years ago
Michuzi01 Aug
MGOMBEA UBUNGE ARUSHA ,MUSTAFA PANJU APANDIKIZA MBEGU YA UPENDO,AMANI NA MSHIKAMANO
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![SAM_4682](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/2G7ZeKN7bP0VKyvIMLSi8rCMEgdsCihJjwaTJjflAObkjdzqTGczYdbuhMR3iAYP0JxSRreF2lFxpt_pV21l77q5Mmu9e09tiT4B6GjMjgy9o6I=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4682.jpg)
9 years ago
Habarileo19 Sep
Mgombea ubunge wa CUF ahamia CCM
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimepasuka wilayani Mafia, mkoani Pwani, baada ya aliyeidhinishwa kugombea ubunge Mafia, Mohammed Albadawi, kuhama chama hicho na kujiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
Mtanzania12 Aug
CCM Handeni watishia kutomnadi mgombea ubunge
NA MWANDISHI WETU, TANGA
WAGOMBEA 15 waliojitokeza kuomba ridhaa ya kuwania ubunge Jimbo la Handeni Vijijini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametishia kutomnadi mgombea aliyeshinda kura za maoni, John Saru, kwa madai kuwa ushindi wake ulitokana na uchakachuaji wa matokeo akisaidiwa na uongozi wa wilaya.
Walisema iwapo ataidhinishwa na vikao vya juu vya chama kupambana na wagombea wengine wa vyama vya upinzani, hawatampa ushirikiano badala yake watamuunga mkono mgombea wao wa nafasi ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FtQZBm9PWuk/VgLlOq2HVyI/AAAAAAAH66A/tindTaKkBww/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
Mgombea ubunge Mafia anadiwa na kunadi ilani ya CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-FtQZBm9PWuk/VgLlOq2HVyI/AAAAAAAH66A/tindTaKkBww/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JidjCsVn0X0/VgLlO1KGhQI/AAAAAAAH66E/wbYdjbe9png/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-crHOS4UDNrs/VgLlPGCtvoI/AAAAAAAH66I/WpTadsN9NQg/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)