Mgombea ubunge Mafia anadiwa na kunadi ilani ya CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-FtQZBm9PWuk/VgLlOq2HVyI/AAAAAAAH66A/tindTaKkBww/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi Mama Samia Suluhu Hassan akisalimiana na mgombea ubunge jimbo la Mafia bwana Mbaraka Kitwana Dau kabla ya kumnadi kisiwani Mafia
Mama Samia Suluhu Hassan aki saini kitabu cha wageni, kisiwani Mafia. Kulia kwake ni bwana Mbaraka Kitwana Dau, ambaye anagombania ubunge jimbo la Mafia. Kushoto kwake ni mwenyekiti wa CCM Mafia bi Arafa. Mwisho kushoto ni Mhe Abdulkarim Shah, mbunge wa Mafia anaemaliza muda wake. Mwisho kulia ni DC wa Mafia
Mama Samia Suluhu...
Michuzi