Mgombea ubunge Mafia anadiwa na kunadi ilani ya CCM

Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi Mama Samia Suluhu Hassan akisalimiana na mgombea ubunge jimbo la Mafia bwana Mbaraka Kitwana Dau kabla ya kumnadi kisiwani Mafia
Mama Samia Suluhu Hassan aki saini kitabu cha wageni, kisiwani Mafia. Kulia kwake ni bwana Mbaraka Kitwana Dau, ambaye anagombania ubunge jimbo la Mafia. Kushoto kwake ni mwenyekiti wa CCM Mafia bi Arafa. Mwisho kushoto ni Mhe Abdulkarim Shah, mbunge wa Mafia anaemaliza muda wake. Mwisho kulia ni DC wa Mafia
Mama Samia Suluhu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi30 Aug
MGOMBEA MWENZA WA CCM SAMIAH SULUHU ANADI ILANI YA CCM MWAKA 2015 KATIKA KATA YA KYENGEGE,WILAYA YA IRAMBA


10 years ago
Vijimambo29 Aug
MAKAMU WA RAIS MTARAJIWA ALIPOWASILI IRAMBA KATA YA KYENGEGE KUNADI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI


10 years ago
Habarileo16 Feb
‘CCM Arusha haijaandaa mgombea Ubunge’
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha, kimesema hakina mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, aliyeandaliwa hadi sasa.
10 years ago
Habarileo19 Sep
Mgombea ubunge wa CUF ahamia CCM
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimepasuka wilayani Mafia, mkoani Pwani, baada ya aliyeidhinishwa kugombea ubunge Mafia, Mohammed Albadawi, kuhama chama hicho na kujiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
Mtanzania12 Aug
CCM Handeni watishia kutomnadi mgombea ubunge
NA MWANDISHI WETU, TANGA
WAGOMBEA 15 waliojitokeza kuomba ridhaa ya kuwania ubunge Jimbo la Handeni Vijijini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametishia kutomnadi mgombea aliyeshinda kura za maoni, John Saru, kwa madai kuwa ushindi wake ulitokana na uchakachuaji wa matokeo akisaidiwa na uongozi wa wilaya.
Walisema iwapo ataidhinishwa na vikao vya juu vya chama kupambana na wagombea wengine wa vyama vya upinzani, hawatampa ushirikiano badala yake watamuunga mkono mgombea wao wa nafasi ya...
10 years ago
VijimamboWENGI WAMSINDIKIZA KUCHUKUA FOMU MGOMBEA UBUNGE WA CCM, MBARALI.
10 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA MAFINGA AAHIDI KUTATUA KERO YA MAJI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
11 years ago
Michuzi
MSAFARA WA MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA CHALINZE ULIVYOKABILIWA CHANGAMOTO YA BARABARA
