Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Burundi yamkataa mpatanishi mpya

Burundi imemkataa Mwanadiplomasia wa pili aliyeteuliwa na Umoja wa mataifa kutatua mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini humo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mpatanishi wa mzozo wa Burundi ajiondoa

Umoja wa mataifa umesema mjumbe wake maalum katika eneo la maziwa makuu hataendelea tena kuwa mpatanishi katika mzozo wa Burundi.

 

11 years ago

GPL

Yanga SC yamkataa msaidizi wa Maximo

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji. Wilbert Molandi na Nicodemus Jonas
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umekataa mapendekezo ya kocha mkuu wa timu hiyo, Marcio Maximo juu ya msaidizi wake ambaye anahisi anaweza kuelewana naye kwa kuwa wamewahi kufanya kazi pamoja. Habari za uhakika ambazo zimefika mezani kwenye gazeti hili, zinaeleza kuwa, Maximo alipendekeza uongozi wa klabu hiyo umpe ajira Kocha wa KMKM ya Zanzibar, Ali Bushiri,...

 

11 years ago

Mtanzania

Serikali yamkataa Mkurugenzi wa Bugando

Hospitali ya Bugando

Hospitali ya Bugando

NA FREDERICK KATULANDA, MWANZA

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imemkataa mkurugenzi mpya wa Hospitali ya Rufaa Bugando, Dk. Kien Mteta, aliyeteuliwa na kanisa hilo kushika nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Hospitali hiyo, Profesa Charles Majinge.

Kutokana na hali hiyo, Serikali imelazimika kuliandikia barua kanisa hilo kueleza jinsi isivyotambua mabadiliko hayo yaliyofanywa kinyume cha mkataba uliopo kati yake na kanisa hilo.
Taarifa hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na...

 

10 years ago

Vijimambo

VATICAN YAMKATAA BALOZI, KUNANI?


Kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis
Mzozo wa kidiplomasia umezuka kati ya makao makuu ya papa mtakatifu ya the Vatican na Ufaransa kuhusiana na uteuzi wa balozi mpya wa Ufaransa, mjini Rome.Rais wa Ufaransa Francois Holland, amempendekeza muumini mmoja wa kanisa hilo ambaye ni mpenzi wa jinsia moja kuwa balozi wake mjini Vatican.Lakini utawala wa Vatican umesema uteuzi huo haukubaliki.Makao makuu ya papa mjini The Vatican hayajasema lolote kuhusiana na uteuzi huo ,lakini ni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Vatican yamkataa balozi,kunani?

Mzozo wa kidiplomasia umezuka kati ya makao makuu ya papa mtakatifu ya the Vatican na Ufaransa kuhusiana na uteuzi wa balozi mpya

 

5 years ago

BBCSwahili

Evariste Ndayishimiye: Aapishwa kuwa rais mpya wa Burundi

Maelfu ya raia wa Burundi wamefurika katika uwanja huo kushuhudia kuapishwa kwa rais huyo kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa taifa hilo Pierre Nkurunziza.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mfahamu Alain-Guillaume Bunyoni, Waziri Mkuu mpya wa Burundi

Alain-Guillaume Bunyoni ni mtu anayefahamika sana nchini Burundi kutokaa na mamlaka aliyonayo ndani ya utawala wa chama tawala cha CNDD-FDD tangu mwaka 2005.

 

5 years ago

BBCSwahili

Rwanda yampongeza rais mteule wa Burundi, je huu ndio mwanzo mpya?

Serikali ya Rwanda imetuma risala ya pongezi kwa rais mteule wa Burundi Meja Jenerali Everiste Ndayishimiye.Wizara ya mambo ya nchi za nje ya Rwanda imetumia fursa hiyo kusema kwamba nchi hiyo iko tayari kurejesha uhusiano baina ya nchi hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani