Burundi yamkataa mpatanishi mpya
Burundi imemkataa Mwanadiplomasia wa pili aliyeteuliwa na Umoja wa mataifa kutatua mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini humo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Mpatanishi wa mzozo wa Burundi ajiondoa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5vBx3EI3-TGuACKeOvsYpeaLp78LUG2WoHOSqEnmfEkh2NkgnQswYI6HQGNutsPoez3VwKjpI5NcNnr0SQayROBU5WrZWUsJ/1.jpg)
Yanga SC yamkataa msaidizi wa Maximo
11 years ago
Mtanzania28 Jul
Serikali yamkataa Mkurugenzi wa Bugando
![Hospitali ya Bugando](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Bugando.jpg)
Hospitali ya Bugando
NA FREDERICK KATULANDA, MWANZA
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imemkataa mkurugenzi mpya wa Hospitali ya Rufaa Bugando, Dk. Kien Mteta, aliyeteuliwa na kanisa hilo kushika nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Hospitali hiyo, Profesa Charles Majinge.
Kutokana na hali hiyo, Serikali imelazimika kuliandikia barua kanisa hilo kueleza jinsi isivyotambua mabadiliko hayo yaliyofanywa kinyume cha mkataba uliopo kati yake na kanisa hilo.
Taarifa hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na...
10 years ago
Vijimambo11 Apr
VATICAN YAMKATAA BALOZI, KUNANI?
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/05/150405035055_pope_francis_easter_vigil_640x360_afp.jpg)
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis
Mzozo wa kidiplomasia umezuka kati ya makao makuu ya papa mtakatifu ya the Vatican na Ufaransa kuhusiana na uteuzi wa balozi mpya wa Ufaransa, mjini Rome.Rais wa Ufaransa Francois Holland, amempendekeza muumini mmoja wa kanisa hilo ambaye ni mpenzi wa jinsia moja kuwa balozi wake mjini Vatican.Lakini utawala wa Vatican umesema uteuzi huo haukubaliki.Makao makuu ya papa mjini The Vatican hayajasema lolote kuhusiana na uteuzi huo ,lakini ni...
10 years ago
BBCSwahili10 Apr
Vatican yamkataa balozi,kunani?
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Evariste Ndayishimiye: Aapishwa kuwa rais mpya wa Burundi
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Mfahamu Alain-Guillaume Bunyoni, Waziri Mkuu mpya wa Burundi
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Rwanda yampongeza rais mteule wa Burundi, je huu ndio mwanzo mpya?