Vatican yamkataa balozi,kunani?
Mzozo wa kidiplomasia umezuka kati ya makao makuu ya papa mtakatifu ya the Vatican na Ufaransa kuhusiana na uteuzi wa balozi mpya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo11 Apr
VATICAN YAMKATAA BALOZI, KUNANI?
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis
Mzozo wa kidiplomasia umezuka kati ya makao makuu ya papa mtakatifu ya the Vatican na Ufaransa kuhusiana na uteuzi wa balozi mpya wa Ufaransa, mjini Rome.Rais wa Ufaransa Francois Holland, amempendekeza muumini mmoja wa kanisa hilo ambaye ni mpenzi wa jinsia moja kuwa balozi wake mjini Vatican.Lakini utawala wa Vatican umesema uteuzi huo haukubaliki.Makao makuu ya papa mjini The Vatican hayajasema lolote kuhusiana na uteuzi huo ,lakini ni...
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Balozi wa zamani Vatican matatani
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Balozi wa mapenzi ya jinsia moja Vatican
9 years ago
MichuziBALOZI WA VATICAN NA MWAKILISHI WA PAPA NCHINI TANZANIA AWASILI MKOANI KAGERA KUFANYA ZIARA YA SIKU SITA
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Burundi yamkataa mpatanishi mpya
11 years ago
GPLYanga SC yamkataa msaidizi wa Maximo
11 years ago
Mtanzania28 Jul
Serikali yamkataa Mkurugenzi wa Bugando
Hospitali ya Bugando
NA FREDERICK KATULANDA, MWANZA
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imemkataa mkurugenzi mpya wa Hospitali ya Rufaa Bugando, Dk. Kien Mteta, aliyeteuliwa na kanisa hilo kushika nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Hospitali hiyo, Profesa Charles Majinge.
Kutokana na hali hiyo, Serikali imelazimika kuliandikia barua kanisa hilo kueleza jinsi isivyotambua mabadiliko hayo yaliyofanywa kinyume cha mkataba uliopo kati yake na kanisa hilo.
Taarifa hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na...
11 years ago
BBCSwahili11 Jul
Kombe la dunia katika Vatican ?
9 years ago
TheCitizen25 Nov
Vatican security team in Uganda