TASWIRA ZA MAJERUHI WA AJALI YA BASI LA LUHUYE WAKIWA HOSPITALI YA RUFAA BUGANDO, MWANZA
![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX1-ZZHL4rvF6VtM89S-qA2Q8lVcJLmxcQqVZmn1xeFjPoS7RlJwDplZ1ZpvgECZRl0eLCsbEdMme-nfInCuX041/2.jpg?width=650)
Baadhi ya majeruhi katika ajali ya Basi la Luhuye Express iliyotokea juzi Wilaya ya Busega mkoani Simiyu wakipelekwa chumba cha upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Mwanza. Mpaka sasa watu 16 wamepoteza maisha. Majeruhi wakiwa hospitalini Bgando.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pM3ABSV3WVX16ma6BpqjFDqhUvlstr2dbfkdYHTSaPkQDbtT119fZPQcfGBv6TSfoiGMSJmwgW-HbNHQtcE9KsvJOL2jkkWv/1ajaliyabasi1.jpg)
TASWIRA ZA AJALI YA BASI LA LUHUYE LILILOUA ZAIDI YA WATU 10 JANA MKOANI MWANZA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRatrubLAYWPsBV7wD6Y6*eiUp9BJvnGHCe8dFvJl01mdGR1MbavIldD33pNZqHUDKHFRUUvpmrl36ABl*T6oUtb/1majeruhiiii.jpg?width=650)
TASWIRA ZA MAJERUHI WA MLIPUKO WA BOMU ARUSHA WAKIWA HOSPITALI YA SELIAN
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcoQOEv6TkmINPuAK5m3lAGGA03liUFLnfjXwqQSM22ezIZfep0H6uNzMS6HZjZcG7a7GweJ1mTWbIdVyLu6kG*l/burudani3.jpg?width=650)
TASWIRA ZA MAJERUHI KATIKA AJALI YA BASI LA BURUDANI, KOROGWE
9 years ago
StarTV04 Sep
Hospitali ya Rufaa Bugando yakanusha Kupandisha garama za matibabu.
Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza imekanusha uvumi ambao umezagaa mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kuwa imepandisha gharama za matibabu kwa kiwango kikubwa ambazo wananchi wanashindwa kuzimudu garama za matibabu.
Hospitali hiyo imedai kuendelea kutumia gharama zake za awali katika kuwahudumia wagonjwa licha ya kughubikwa na changamoto ya ufinyu wa bajeti inayoathiri mfumo wa uendeshaji.
Hospitali ya Rufaa ya Bugando kwa sasa ina zaidi ya miaka 44 ya kutoa huduma ya afya kwa...
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Majeruhi ajali ya basi na treni wasaidiwa
SERIKALI ya Mkoa wa Morogoro na wadau wengineo wametoa misaada mbalimbali zikiwemo fedha tasilimu kwa majeruhi wa ajali ya basi kugonga treni wanaotibiwa hospitali ya Mt. Francis wilayani hapa. Katika...
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Waliokufa, majeruhi ajali ya basi waanza kutambuliwa
NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
MAITI mbili kati ya nne za ajali ya basi la kampuni ya Air Bus iliyotokea juzi wilayani Gairo, zimetambuliwa.
Basi hilo lilipata ajali likiwa safarini kutoka Dar es Salaam kwenda Tabora.
Aidha, majeruhi 30 wa ajali hiyo bado wamelazwa katika hospitali za Berega na ya rufani ya mkoa wa Morogoro, wakipatiwa matibabu.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paul, alisema jana ofisini kwake mjini hapa kuwa waliotambuliwa ni Amina Rashid (50), mkulima na mkazi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ERWuXLKgJRk/UzGJ_WdzwbI/AAAAAAAA02M/g9dBWwlSwGo/s72-c/01.ABG.jpg)
AFRICAN BARRICK GOLD MINING WADHAMINI TIBA YA UPASUAJI BURE KWA KICHWA, MGONGO NA MISHIPA YA FAHAMU KATIKA HOSPITALI YA BUGANDO MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ERWuXLKgJRk/UzGJ_WdzwbI/AAAAAAAA02M/g9dBWwlSwGo/s1600/01.ABG.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VpMzVLS0kF8/UzGKBG40kUI/AAAAAAAA02g/dweXnqDr42M/s1600/01.ABG9.jpg)
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Mjane alidai basi la Luhuye Sh40 mil
11 years ago
GPLTASWIRA ZA AJALI YA BASI LA HOOD ILIYOUA MMOJA NA KUJERUHI 27 MKOANI MORO LEO