Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjane alidai basi la Luhuye Sh40 mil

Mmiliki wa nyumba iliyogongwa na basi la Luhuye Kijiji cha Itwimila A, wilayani Busega, mkoani Simiyu ametaka mmiliki wa basi hilo kumlipa fidia ya Sh40 milioni kutokana na kupoteza mali nyingi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA MAJERUHI WA AJALI YA BASI LA LUHUYE WAKIWA HOSPITALI YA RUFAA BUGANDO, MWANZA

Baadhi ya majeruhi katika ajali ya Basi la Luhuye Express iliyotokea juzi Wilaya ya Busega mkoani Simiyu wakipelekwa chumba cha upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Mwanza. Mpaka sasa watu 16 wamepoteza maisha. Majeruhi wakiwa hospitalini Bgando.…

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA AJALI YA BASI LA LUHUYE LILILOUA ZAIDI YA WATU 10 JANA MKOANI MWANZA

Basi la abiria la Luhuye Express lenye namba za usajili T 410 AWQ baada ya kuacha njia na kugonga nyumba katika Kijiji cha Yitwimila 'A', wilayani Busega, Mkoa wa Simiyu jana asubuhi. Wananchi wakishuhudia ajali hiyo iliyoua watu zaidi ya 10 na kujeruhi 30.…

 

9 years ago

Bongo5

Manyaunyau jela miaka 3 kwa utapeli, alidai angemfufua marehemu

scan0006

Mkazi wa Dar es Salaam, Dunia Salumu maarufu kwa jina la Dk. Manyaunyau, amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na kulipa fidia ya Sh milioni 10 baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia fedha Sh milioni 29.6 kwa njia ya udanganyifu.

scan0006

Manyaunyau anadaiwa kujipatia kiasi hicho cha fedha kutoka kwa mlalamikaji, Tekra Modesta kama malipo ya kazi ya kumfufua marehemu kaka yake aliyefahamika kwa jina moja la Modest ambaye alifariki dunia miaka kadhaa iliyopita.

Akitoa hukumu...

 

11 years ago

TheCitizen

Dar gets Sh40 billion boost

Water and agriculture sectors yesterday received a fresh boost following the signing of a new bilateral development cooperation programme between the government and the Kingdom of Belgium.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yaokoa zaidi ya Sh40 milioni

Serikali imeokoa zaidi ya Sh40 bilioni tangu ilipoanza kutumia mfumo mpya wa malipo kwa watumishi wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Dawasco yataja wadaiwa sugu wa Sh40 bilioni

Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), imesema inawadai wateja sugu Sh40 bilioni huku ikiwataka kulipa madeni hayo ili kunusuru utendaji wake.

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Fastjet Sued for Sh40 Million Damages Over Flight Cancellation


Fastjet Sued for Sh40 Million Damages Over Flight Cancellation
AllAfrica.com
FOUR Dar es Salaam passengers have sued Fastjet (Tanzania) Limited, demanding 40m/- compensation and unspecified amount of damages for loss incurred for alleged cancellation of a flight to Mwanza City. Through BIN Attorneys, the four, Gabriel Kanuja ...

 

10 years ago

Bongo5

Utani Huu: Mpambe wa Ex wa Zari anataka DNA ya mtoto wa Diamond, anadai yeye ni baba, juzi alidai Ivan ndio baba!

Guys kuna mambo mengi sana feki yanaendelea kwenye mitandao ya kijamii. Tena zaidi ni kuwa mengi yanakuja na picha zinazoashiria ukweli lakini katika maisha ya chuki na visasi, kila kitu kinawezekana. Mtoto wa Diamond, Tiffah Bahati mbaya tunaishi kwenye dunia ambayo watu huamini haraka mambo hasi ambayo kwa kawaida husambaa haraka zaidi kuliko yale chanya. […]

 

11 years ago

GPL

GONJWA LA RAY C HATARI, LAPUKUTISHA WATU MIL 2, MIL 100 WAAMBUKIZWA!

Na Joseph Shaluwa na Musa Mateja
MARADHI yanayomsumbua mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ni tishio, Gazeti la Mastaa, Amani limeelezwa. Mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ akiwa hoi hospitali. Ray C anaugua ugonjwa wa Homa ya Dengu ambao kitaalam hujulikana kama Dangue Fever. Ulibainika baada ya kufanyiwa uchunguzi na madaktari wa Hospitali ya Mkoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani