Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Miaka 10 inamtosha yeyote Ikulu

Rais Jakaya Kikwete amesema kuwa miaka 10 inatosha kwa kiongozi kukaa Ikulu na kuwataka watumishi kumsaidia mrithi wake atakayechaguliwa katika Uchaguzi Mkuu Jumapili ijayo kwa ari zaidi ili kuchochea maendeleo ya taifa na kulifanya kuwa la kipato cha kati ifikapo mwaka 2025.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MIAKA 10 INATOSHA KWA YEYOTE KUTUMIKIA URAIS — RAIS KIKWETE

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIMiaka 10 inatosha kwa yeyote kutumikia Urais – Rais Kikwete

·        Awataka watumishi wa Ikulu kumsaidia Rais ajaye kwa ari na nguvu zaidi kuliko walivyomsaidia yeye.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa miaka 10 ya uongozi inatosha kabisa kwa mkuu wa nchi kufanya mambo mengi na kuwa hahitaji muda zaidi kuweza kumaliza ajenda yake.


Aidha, Rais...

 

11 years ago

Dewji Blog

Hafla ya Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania yafana Viwanja vya Ikulu

1

Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dr. Ali Mohamed Shein wakikata keki katika sherehe ya Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa na Mwalimu J.K.Nyerere na Mzee Abeid Amani Karume Aprili 26 mwaka 1964 hafla hiyo iilifanyika jana kwenye viwanja vya Ikulu na kuhudhuriwa na Makamu wa Rais Dr. Gharib Bilal, Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Seif Ali Idd, Waziri Mkuu Tanzania Mh. Mizengo Pinda na viongozi...

 

11 years ago

GPL

HAFLA YA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA YAFANA VIWANJA VYA IKULU‏ JIJINI DAR

  Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dr. Ali Mohamed Shein wakiwalisha keki wake zao katika hafla hiyo. Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dr. Ali Mohamed Shein wakikata keki katika…

 

10 years ago

Habarileo

Magufuli: Sitaogopa, sitamwonea yeyote

Mgombea mteule wa urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli.(Picha na Yusuf Badi)MGOMBEA mteule wa urais kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, Dk John Magufuli na mgombea mwenza wake, Samia Suluhu Hassan jana walipokelewa na umati mkubwa wa wakazi wa Dar es Salaam, bila kujali itikadi zao za kisiasa.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli: Sitaogopa mtu yeyote

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema akichaguliwa kuwa rais, hatamwogopa mtu wala hataacha mtu aonewe, hasa wanyonge.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk Mwakyembe: Sitamvumilia yeyote TRL

WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema hatomvumilia kiongozi yeyote wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), atakayetajwa na kamati ndogo iliyoundwa kuchunguza ufisadi ndani ya kampuni hiyo. Dk Mwakyembe aliteua...

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yaahidi kutomwonea mfanyabiashara yeyote

SERIKALI imesema haina nia ya kuonea wafanyabiashara, lakini ikaonya itachukua hatua kali za kisheria kwa mawakala wa forodha wasio waaminifu na watakaokiuka taratibu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani