NAPE ATANGAZA RATIBA YA MIKUTANO YA CCM
Katibu wa itikadi na uenezi Nape Nnauye amesema vikao hivyo vilianza leo kwa sekretalieti kukutana na kujadili maandalizi ya kamati kuu (CC), Halmashauri Kuu (NEC) na mkutano mkuu huku kesho julai 8 inakutana kamati ya Usalama na maadili ndani ya Chama ambacho kitakuwa chini ya Mwenyekiti wa chama hicho na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania Jakaya Kikwete.
Nape amesema keshokutwa Julai 9 kutakuwa na uzinduzi wa Ukumbi mpya ambako kutafanyikia Mkutano mkuu wa mwaka huu utakaofanywa na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Nape awajibu wanaoishinikiza CCM itoe ratiba ya uchaguzi
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lu7fZBLnWM0/VdzP08A2dNI/AAAAAAAHz_0/jiVDwEF4Sd4/s72-c/tume1.jpg)
11 years ago
Mwananchi24 Jun
AGIZO: Mikutano ya Nape yapigwa ‘stop’
9 years ago
Habarileo14 Sep
Nape atangaza kuing’oa CUF kusini
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amewatangazia kiama wapinzani hasa wa Chama cha Wananchi (CUF) wa mikoa ya Kusini, akibainisha kuwa mwisho wao ni mwaka huu, licha ya kujijengea himaya kubwa kwenye ukanda huo.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2BcXmTtHXUk/VVEfdRslckI/AAAAAAAAbkI/SvYEgp9qGJI/s72-c/1.jpg)
NAPE AITAKA TUME YA UCHAGUZI KUWA NA RATIBA YA UHAKIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2BcXmTtHXUk/VVEfdRslckI/AAAAAAAAbkI/SvYEgp9qGJI/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nh3HgRWDnwY/VVEfcEsUASI/AAAAAAAAbkA/p8gqrPocSJg/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KWL7AXOUQRs/VVEfdWl72rI/AAAAAAAAbkM/43t62yXCHNs/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-75oRLz9Pogc/VVEfeG7AsjI/AAAAAAAAbkQ/9j14lxWiK00/s640/4.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-_FNj4QjTAnc/XunJYvXFD_I/AAAAAAAC7wY/EPhqvB4bze0DngbR0Mb7ko4001VcRY6VgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpeg)
WAZIRI WA ELIMU PROF. NDALICHAKO ATANGAZA RATIBA ZA MITIHANI NA MASOMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-_FNj4QjTAnc/XunJYvXFD_I/AAAAAAAC7wY/EPhqvB4bze0DngbR0Mb7ko4001VcRY6VgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpeg)
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma, Waziri Ndalichako amesema muhula wa kwanza wa masomo utamalizika Agosti 28 mwaka huu na kuanza kwa muhula mpya utakaoishia Desemba 18 mwaka huu.
Prof Ndalichako amesema ili kukamilisha muhtasari wa masomo shule...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HCYk55Scd-M/VhIXEKnAaAI/AAAAAAADAQA/7_8mtx1ghHc/s72-c/1.png)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-cWDZTI8xshk/VhIKgzKPVqI/AAAAAAAACUI/Trpx0u-uBtA/s72-c/1.png)
TUME YA TAIFA TA UCHAGUZI YATOA RATIBA YA MABADILIKO YA MIKUTANO YA KAMPENI ZA UCHAGUZI WA RAIS, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-cWDZTI8xshk/VhIKgzKPVqI/AAAAAAAACUI/Trpx0u-uBtA/s640/1.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vx3uvlGbi6I/VhIKg543f9I/AAAAAAAACUQ/Dc9fln4PkgA/s640/3%2Boktoba%2B2015.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RFwFoYuRzww/VhIKhIzrxII/AAAAAAAACUM/OZ2T-GSuAa0/s640/4%2Boktoba%2B2015.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FdQuBh595Mo/VhIKhy5CmDI/AAAAAAAACUY/rawgMs319Sk/s640/5%2Boktoba2015.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-P6ZB3jXFF6A/VhIKiqjQrDI/AAAAAAAACUs/Nuj8u6qC76c/s640/6%2Boktoba%2B2015.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-X0S7fWtlbP8/VhIKika2BNI/AAAAAAAACUo/UZ6w4KvIWW8/s640/7%2Boktoba%2B2015.png)
Chanzo: Tume ya Taifa ya Uchaguzi Blog
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xXmUlGYYdPA/Xum7dJWaGxI/AAAAAAALuLE/kiIT7369sAY5YlFwo7tKWgQyPXIzvAgdgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B9.38.40%2BAM.jpeg)
PROF NDALICHAKO ATANGAZA RASMI RATIBA YA MITIHANI NA MASOMO, ATAKA TAHADHARI YA CORONA IZINGATIWE
KUFUATIA Rais Dk John Magufuli jana kutangaza kufungua Shule zote ifikapo Juni 29, leo Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako ametangaza ratiba ya masomo na mitihani kwa ajili ya kukamilisha mwaka wa masomo.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma, Waziri Ndalichako amesema muhula wa kwanza wa masomo utamalizika Agosti 28 mwaka huu na kuanza kwa muhula mpya utakaoishia Desemba 18 mwaka huu.
Prof Ndalichako amesema ili kukamilisha muhtasari...