AGIZO: Mikutano ya Nape yapigwa ‘stop’
>Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye ameonja chungu ya uamuzi wa Serikali wa kusitisha mikutano ya hadhara katika mikoa ya Lindi na Mtwara baada ya kushindwa kufungua mashina ya chama hicho mjini Mtwara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 May
Mikutano ya kisiasa yapigwa marufuku Kenya
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Barcelona yapigwa ‘stop’ kusajili
11 years ago
Habarileo07 Aug
Menejimenti NICOL yapigwa 'stop'
MAHAKAMA Kuu imezuia menejimenti ya muda ya Kampuni ya Uwekezaji ya NICOL inayoongozwa na Dk Gideon Kaunda na wenzake kujihusisha na shughuli za kampuni hiyo hadi hapo maombi yaliyofunguliwa na walalamikaji yatakapomalizika kusikilizwa.
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Miss Tanzania yapigwa ‘stop’
10 years ago
Habarileo13 Feb
Maandamano ya Vijana CUF yapigwa ‘stop’
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imepiga marufuku maandamano ya Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Wananchi (JUVICUF) kutokana na kile ilichosema yana lengo la kusababisha uvunjifu wa amani.
10 years ago
Habarileo28 Jan
Maandamano ya chama cha CUF yapigwa ‘stop’
CHAMA cha Wananchi -CUF kimeamua kuahirisha maandamano yake, yaliyopangwa kufanyika jana, ikiwa ni ishara ya kuadhimisha miaka 14 ya vifo vya wafuasi wake waliopoteza maisha Januari 27, mwaka 2001.
11 years ago
Habarileo05 Feb
Maandamano ya Chadema Arusha mjini ‘yapigwa stop’
POLISI imezuia maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), yaliyopangwa kufanyika leo jijini Arusha, kwa madai kuwa malalamiko yao yanashughulikiwa.
10 years ago
VijimamboNAPE ATANGAZA RATIBA YA MIKUTANO YA CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-8h7E_dzyF3Q/VZvUKvoyVvI/AAAAAAABRUI/6UYzpiEHJLw/s640/unnamed.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-936LCPHaSg8/XrOWUszbeTI/AAAAAAALpWA/2pLhRC92ae0QEZ6jHXWzbrlPAVosUNn9gCLcBGAsYHQ/s72-c/_112169525_29af3e34-d526-4e00-b7ce-ba818de24a16.jpg)
MITAA YA NAIROBI , MOMBASA KINARA KWA CORONA YAPIGWA STOP KUTOTOKA NJE SAA 24
![](https://1.bp.blogspot.com/-936LCPHaSg8/XrOWUszbeTI/AAAAAAALpWA/2pLhRC92ae0QEZ6jHXWzbrlPAVosUNn9gCLcBGAsYHQ/s400/_112169525_29af3e34-d526-4e00-b7ce-ba818de24a16.jpg)
Hatua hiyo inalenga kuzuia kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona katika maeneo mengine ya miji ya Nairobi na Mombasa huku wagonjwa wengine wapya 47 wakitangazwa na kufanya idadi ya maambukizi kufikia watu 580.
Akizungumza na vyombo vya habari Waziri wa Afya Mutahi kagwe amesema...