Menejimenti NICOL yapigwa 'stop'
MAHAKAMA Kuu imezuia menejimenti ya muda ya Kampuni ya Uwekezaji ya NICOL inayoongozwa na Dk Gideon Kaunda na wenzake kujihusisha na shughuli za kampuni hiyo hadi hapo maombi yaliyofunguliwa na walalamikaji yatakapomalizika kusikilizwa.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania