Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nape atangaza kuing’oa CUF kusini

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amewatangazia kiama wapinzani hasa wa Chama cha Wananchi (CUF) wa mikoa ya Kusini, akibainisha kuwa mwisho wao ni mwaka huu, licha ya kujijengea himaya kubwa kwenye ukanda huo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

NAPE ATANGAZA RATIBA YA MIKUTANO YA CCM

Katibu wa itikadi na uenezi Nape Nnauye amesema vikao hivyo vilianza leo kwa sekretalieti kukutana na kujadili maandalizi ya kamati kuu (CC), Halmashauri Kuu (NEC) na mkutano mkuu huku kesho julai 8 inakutana kamati ya Usalama na maadili ndani ya Chama ambacho kitakuwa chini ya Mwenyekiti wa chama hicho na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania Jakaya  Kikwete.Nape amesema keshokutwa Julai 9 kutakuwa na uzinduzi wa Ukumbi mpya ambako kutafanyikia Mkutano mkuu wa mwaka huu utakaofanywa na...

 

11 years ago

Habarileo

Nape asema ni ndoa ya Chadema, CUF, NCCR ya ubabaishaji

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape NnauyeKATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema ‘ndoa’ upinzani bungeni iliyozaa Baraza Kivuli la Mawaziri la vyama vya Chedema, CUF na NCCR-Mageuzi, ni mwendelezo wa ubabaishaji na matusi makubwa kwa vyama vingine vilivyokubali ndoa hiyo hasa CUF.

 

5 years ago

CCM Blog

MBUNGE WA CUF MKOA WA KUSINI PEMBA ATIMKIA CCM

  Mbunge wa Wawi Mkoa wa Kusini Pemba (CUF), Ahmed Juma Ngwali (mwenye flana nyekundu) amejivua uanachama wa chama hicho na kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Ngwali ametangaza uamuzi huo leo Jumatatu Machi 2, 2020 mbele ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole ambaye yupo Zanzibar katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM Wilaya za kisiwani Pemba.
Mbunge huyo amesema anajiunga CCM kwa sababu chama hicho tawala kinapeleka maendeleo kwa wananchi.
Ngwali anaungana na...

 

10 years ago

Mwananchi

CUF inavyotumia Escrow kama silaha ya kuiangamiza CCM Kusini

Wapinzani wamekusudia kuikwamisha Katiba Inayopendekezwa huku wakielekeza nguvu zao kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu kwa lengo la kukiangusha chama tawala.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Makamu wa rais wa Sudan Kusini Wani Igga atangaza kuwa na virusi

Makamu wa rais wa Sudan Kusini Dkt James Wani Iga amesema kuwa amepatwa na virusi vya corona.

 

10 years ago

Mwananchi

Escrow kuing’oa CCM

 Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila amesema licha ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kuwadharau Watanzania na kuamini kwamba hawana madhara kwa ustawi wake, kashfa ya uchotaji fedha kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow itaking’oa chama hicho madarakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Upinzani TZ waungana kuing'oa CCM

Vyama vinne vya upinzani nchini Tanzania vimetia saini makubaliano ya kupata nguvu ya pamoja, kuking’oa madarakani Chama tawala.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hongera Taifa Stars kuing’oa Zimbabwe

TIMU ya Soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilifanikiwa kutinga raundi ya pili ya kupigania nafasi ya kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa Afrika ‘Afcon 2014’ litakalofanyika mwakani...

 

11 years ago

Mwananchi

Msekwa: Wapinzani wakiungana wanaweza kuing’oa CCM

>Kiongozi Mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amesema endapo vyama vya upinzani vikiungana na kuweka mikakati makini ya muda mrefu, vinaweza kuking’oa CCM madarakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani