Nape atangaza kuing’oa CUF kusini
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amewatangazia kiama wapinzani hasa wa Chama cha Wananchi (CUF) wa mikoa ya Kusini, akibainisha kuwa mwisho wao ni mwaka huu, licha ya kujijengea himaya kubwa kwenye ukanda huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboNAPE ATANGAZA RATIBA YA MIKUTANO YA CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-8h7E_dzyF3Q/VZvUKvoyVvI/AAAAAAABRUI/6UYzpiEHJLw/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
Habarileo12 May
Nape asema ni ndoa ya Chadema, CUF, NCCR ya ubabaishaji
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema ‘ndoa’ upinzani bungeni iliyozaa Baraza Kivuli la Mawaziri la vyama vya Chedema, CUF na NCCR-Mageuzi, ni mwendelezo wa ubabaishaji na matusi makubwa kwa vyama vingine vilivyokubali ndoa hiyo hasa CUF.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qTJDI0cHifI/Xl0BnaLhWLI/AAAAAAACz3o/K3xcfSD0Zs8uLwjGEMzX7LA-nNGNZobhACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MBUNGE WA CUF MKOA WA KUSINI PEMBA ATIMKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-qTJDI0cHifI/Xl0BnaLhWLI/AAAAAAACz3o/K3xcfSD0Zs8uLwjGEMzX7LA-nNGNZobhACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Ngwali ametangaza uamuzi huo leo Jumatatu Machi 2, 2020 mbele ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole ambaye yupo Zanzibar katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM Wilaya za kisiwani Pemba.
Mbunge huyo amesema anajiunga CCM kwa sababu chama hicho tawala kinapeleka maendeleo kwa wananchi.
Ngwali anaungana na...
10 years ago
Mwananchi07 Jan
CUF inavyotumia Escrow kama silaha ya kuiangamiza CCM Kusini
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya corona: Makamu wa rais wa Sudan Kusini Wani Igga atangaza kuwa na virusi
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Escrow kuing’oa CCM
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Upinzani TZ waungana kuing'oa CCM
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Hongera Taifa Stars kuing’oa Zimbabwe
TIMU ya Soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilifanikiwa kutinga raundi ya pili ya kupigania nafasi ya kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa Afrika ‘Afcon 2014’ litakalofanyika mwakani...
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Msekwa: Wapinzani wakiungana wanaweza kuing’oa CCM