Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hongera Taifa Stars kuing’oa Zimbabwe

TIMU ya Soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilifanikiwa kutinga raundi ya pili ya kupigania nafasi ya kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa Afrika ‘Afcon 2014’ litakalofanyika mwakani...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Taifa Stars wakijipanga vizuri, wanaweza kuing’oa Zimbabwe

TIMU ya Soka ya Tanzania ‘Taifa Stars,’ Jumapili iliyopita ilianza vizuri kampeni ya kuwania nafasi ya kuwamo katika kundi F, kwa kampeni ya kucheza fainali za Afrika ‘AFCON 2015’ za...

 

11 years ago

GPL

STARS YAICHINJA ZIMBABWE TAIFA

Stars wakishangilia ushindi dhidi ya Zimbabwe. TIMU ya Taifa, Taifa Stars imeibuka kifua mbele baada ya kuilaza timu ya Taifa ya Zimbabwe 'Mighty Warriors' bao 1-0 katika mechi ya kuwania nafasi ya kucheza fainali za Mataifa ya Afrika iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar. Bao la Stars limefungwa na John Bocco 'JB' dakika ya 16 kipindi cha kwanza! ...

 

11 years ago

Michuzi

TAIFA STARS kicked out of hotel in Zimbabwe

Tanzania’s national football team, Taifa Stars on Thursday was kicked out of the hotel they were booked in ahead of their crucial return leg against Zimbabwe this Sunday, it has been reported. 

This is because the Zimbabwe Football Authority (ZIFA) hosting the team, failed to pay their accommodation, broadcast journalist Ezra Tshisa Sibanda says.
“This is a disgrace and a total failure by those in charge of the football association. I wouldn’t mind the players and technical staff deserting...

 

9 years ago

BBCSwahili

Taifa Stars wanawake kuivaa Zimbabwe

Timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa magongo kesho jumamosi inatarajia kushuka dimbani kutupa karata yake ya kwanza muda wa saa nane mchana dhidi ya Zimbabwe.

 

11 years ago

Michuzi

TAIFA STARS YAICHAPA ZIMBABWE BAO 1-0 LEO DAR ES SALAAM

Mshambuliaji wa Taifa Stars , Mbwana Samatta (juu) akikwepa kwanja wakati akijaribu kumtoka beki wa timu ya Taifa ya Zimbabwe, katika mchezo wa kwanza wa mchujo kuwania kupangwa kwenye makundi ya kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika 2015 zinazotarajia kufanyika nchini Morocco, wakati wa mtanange huo uliopigwa kwenye uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo Taifa Stars, ilishinda bao 1-0.  ***********************************************  Na Sufianimafoto,...

 

11 years ago

Michuzi

TAIFA STARS NA ZIMBABWE KUUMANA DAR ES SALAAM JUMAPILI MEI 18

Mechi ya kwanza ya raundi ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika 2015 nchini Morocco kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Zimbabwe (Mighty Warriors) itafanyika Jumapili (Mei 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Awali mechi hiyo tulipanga ichezwe Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kwa nia ya kuhakikisha mikoa yote ya Tanzania inapata fursa ya kuwa mwenyeji wa mechi za kimataifa.
Ili Uwanja wa Sokoine uweze kuchezwa mechi za kimataifa za mashindano, Shirikisho la Mpira wa...

 

11 years ago

GPL

TAIFA STARS, ZIMBABWE ZAINGIZA MIL 63, LIGU KUU TANZANIA BARA KUANZA AGOSTI 24 MWAKA HUU

Ofisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Boniface Wambura akizungumza na vyombo vya habari. Waandishi wa habari wakisikiliza. Stori: Na Gabriel Ng'osha OFISA Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Boniface Wambura akizungumzia kuhusiana na mapato yaliyotokana na mechi kati ya Taifa Stars na Zimbabwe iliyochezwa wiki iliyopita ambapo jumla ya shilingi milioni 63 zilipatikana baada ya mashabiki...

 

11 years ago

Mwananchi

Hongera Kilimanjaro Stars kwa soka safi

Michuano ya soka ya kuwania Kombe la Chalenji kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati ilimalizika Alhamisi iliyopita jijini Nairobi Kenya.

 

11 years ago

Michuzi

KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS

Kocha mpya wa Taifa Stars, Mart Nooij ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi (The Flames) itakayochezwa Mei 4 mwaka huu katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani