Hongera Taifa Stars kuing’oa Zimbabwe
TIMU ya Soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilifanikiwa kutinga raundi ya pili ya kupigania nafasi ya kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa Afrika ‘Afcon 2014’ litakalofanyika mwakani...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Taifa Stars wakijipanga vizuri, wanaweza kuing’oa Zimbabwe
TIMU ya Soka ya Tanzania ‘Taifa Stars,’ Jumapili iliyopita ilianza vizuri kampeni ya kuwania nafasi ya kuwamo katika kundi F, kwa kampeni ya kucheza fainali za Afrika ‘AFCON 2015’ za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCDFAbsMBSxe1lgsHpJ7BiU*TaW8U66dRYYJ0HIMNEiqG3cd14xq7MhRa5WwhtUcBwPsvgi0ci*RV*8KEixO9NNF/STARS.jpg?width=650)
STARS YAICHINJA ZIMBABWE TAIFA
Stars wakishangilia ushindi dhidi ya Zimbabwe. TIMU ya Taifa, Taifa Stars imeibuka kifua mbele baada ya kuilaza timu ya Taifa ya Zimbabwe 'Mighty Warriors' bao 1-0 katika mechi ya kuwania nafasi ya kucheza fainali za Mataifa ya Afrika iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar. Bao la Stars limefungwa na John Bocco 'JB' dakika ya 16 kipindi cha kwanza! ...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UcL2aFbBQuw/U4ndLvQK29I/AAAAAAAFmuY/lVWygzwNY3w/s72-c/IMG_7088.jpg)
TAIFA STARS kicked out of hotel in Zimbabwe
![](http://1.bp.blogspot.com/-UcL2aFbBQuw/U4ndLvQK29I/AAAAAAAFmuY/lVWygzwNY3w/s1600/IMG_7088.jpg)
This is because the Zimbabwe Football Authority (ZIFA) hosting the team, failed to pay their accommodation, broadcast journalist Ezra Tshisa Sibanda says.
“This is a disgrace and a total failure by those in charge of the football association. I wouldn’t mind the players and technical staff deserting...
9 years ago
BBCSwahili23 Oct
Taifa Stars wanawake kuivaa Zimbabwe
Timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa magongo kesho jumamosi inatarajia kushuka dimbani kutupa karata yake ya kwanza muda wa saa nane mchana dhidi ya Zimbabwe.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HF7Z9kFs6TA/U3jplmoqJKI/AAAAAAABhjY/oM-oEr6ypRc/s72-c/Samatta.jpg)
TAIFA STARS YAICHAPA ZIMBABWE BAO 1-0 LEO DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-HF7Z9kFs6TA/U3jplmoqJKI/AAAAAAABhjY/oM-oEr6ypRc/s1600/Samatta.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-187ap70j88o/U3jpnwv8R3I/AAAAAAABhjg/9OvmyJkghE8/s1600/Ngassa.jpg)
11 years ago
Michuzi12 May
TAIFA STARS NA ZIMBABWE KUUMANA DAR ES SALAAM JUMAPILI MEI 18
Mechi ya kwanza ya raundi ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika 2015 nchini Morocco kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Zimbabwe (Mighty Warriors) itafanyika Jumapili (Mei 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Awali mechi hiyo tulipanga ichezwe Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kwa nia ya kuhakikisha mikoa yote ya Tanzania inapata fursa ya kuwa mwenyeji wa mechi za kimataifa.
Ili Uwanja wa Sokoine uweze kuchezwa mechi za kimataifa za mashindano, Shirikisho la Mpira wa...
Awali mechi hiyo tulipanga ichezwe Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kwa nia ya kuhakikisha mikoa yote ya Tanzania inapata fursa ya kuwa mwenyeji wa mechi za kimataifa.
Ili Uwanja wa Sokoine uweze kuchezwa mechi za kimataifa za mashindano, Shirikisho la Mpira wa...
11 years ago
GPLTAIFA STARS, ZIMBABWE ZAINGIZA MIL 63, LIGU KUU TANZANIA BARA KUANZA AGOSTI 24 MWAKA HUU
Ofisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Boniface Wambura akizungumza na vyombo vya habari. Waandishi wa habari wakisikiliza. Stori: Na Gabriel Ng'osha OFISA Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Boniface Wambura akizungumzia kuhusiana na mapato yaliyotokana na mechi kati ya Taifa Stars na Zimbabwe iliyochezwa wiki iliyopita ambapo jumla ya shilingi milioni 63 zilipatikana baada ya mashabiki...
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Hongera Kilimanjaro Stars kwa soka safi
Michuano ya soka ya kuwania Kombe la Chalenji kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati ilimalizika Alhamisi iliyopita jijini Nairobi Kenya.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania