Taifa Stars wakijipanga vizuri, wanaweza kuing’oa Zimbabwe
TIMU ya Soka ya Tanzania ‘Taifa Stars,’ Jumapili iliyopita ilianza vizuri kampeni ya kuwania nafasi ya kuwamo katika kundi F, kwa kampeni ya kucheza fainali za Afrika ‘AFCON 2015’ za...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Hongera Taifa Stars kuing’oa Zimbabwe
TIMU ya Soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilifanikiwa kutinga raundi ya pili ya kupigania nafasi ya kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa Afrika ‘Afcon 2014’ litakalofanyika mwakani...
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Msekwa: Wapinzani wakiungana wanaweza kuing’oa CCM
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCDFAbsMBSxe1lgsHpJ7BiU*TaW8U66dRYYJ0HIMNEiqG3cd14xq7MhRa5WwhtUcBwPsvgi0ci*RV*8KEixO9NNF/STARS.jpg?width=650)
STARS YAICHINJA ZIMBABWE TAIFA
9 years ago
BBCSwahili23 Oct
Taifa Stars wanawake kuivaa Zimbabwe
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UcL2aFbBQuw/U4ndLvQK29I/AAAAAAAFmuY/lVWygzwNY3w/s72-c/IMG_7088.jpg)
TAIFA STARS kicked out of hotel in Zimbabwe
![](http://1.bp.blogspot.com/-UcL2aFbBQuw/U4ndLvQK29I/AAAAAAAFmuY/lVWygzwNY3w/s1600/IMG_7088.jpg)
This is because the Zimbabwe Football Authority (ZIFA) hosting the team, failed to pay their accommodation, broadcast journalist Ezra Tshisa Sibanda says.
“This is a disgrace and a total failure by those in charge of the football association. I wouldn’t mind the players and technical staff deserting...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HF7Z9kFs6TA/U3jplmoqJKI/AAAAAAABhjY/oM-oEr6ypRc/s72-c/Samatta.jpg)
TAIFA STARS YAICHAPA ZIMBABWE BAO 1-0 LEO DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-HF7Z9kFs6TA/U3jplmoqJKI/AAAAAAABhjY/oM-oEr6ypRc/s1600/Samatta.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-187ap70j88o/U3jpnwv8R3I/AAAAAAABhjg/9OvmyJkghE8/s1600/Ngassa.jpg)
11 years ago
Michuzi12 May
TAIFA STARS NA ZIMBABWE KUUMANA DAR ES SALAAM JUMAPILI MEI 18
Awali mechi hiyo tulipanga ichezwe Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kwa nia ya kuhakikisha mikoa yote ya Tanzania inapata fursa ya kuwa mwenyeji wa mechi za kimataifa.
Ili Uwanja wa Sokoine uweze kuchezwa mechi za kimataifa za mashindano, Shirikisho la Mpira wa...
11 years ago
GPLTAIFA STARS, ZIMBABWE ZAINGIZA MIL 63, LIGU KUU TANZANIA BARA KUANZA AGOSTI 24 MWAKA HUU
9 years ago
Bongo507 Dec
‘Wema Sepetu na Lulu wanaweza kufanya vizuri Hollywood’ asema staa mkubwa wa filamu
![wema lulu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/wema-lulu-300x194.jpg)
Staa wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon amesema Wema Sepetu na Elizabeth ‘Lulu’ Michael wanaweza kufanya vizuri Hollywood.
Akiongea na Bongo5, Napoleon amesema uwezo wa waigizaji hao unaweza kutisha watu kama wakipewa muongozo mzuri.
“Tanzania tuna waigizaji wazuri wengi sana,” amesema. “Watu wengi wakiangalia bongo movie wanaona movie mbovu au vipi. Hilo sio suala la uigizaji, hayo yanakuwa ni mambo mengine ya production yanayofanya filamu iwe mbovu labda filamu imeharakishwa...