TAIFA STARS NA ZIMBABWE KUUMANA DAR ES SALAAM JUMAPILI MEI 18
Mechi ya kwanza ya raundi ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika 2015 nchini Morocco kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Zimbabwe (Mighty Warriors) itafanyika Jumapili (Mei 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Awali mechi hiyo tulipanga ichezwe Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kwa nia ya kuhakikisha mikoa yote ya Tanzania inapata fursa ya kuwa mwenyeji wa mechi za kimataifa.
Ili Uwanja wa Sokoine uweze kuchezwa mechi za kimataifa za mashindano, Shirikisho la Mpira wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HF7Z9kFs6TA/U3jplmoqJKI/AAAAAAABhjY/oM-oEr6ypRc/s72-c/Samatta.jpg)
TAIFA STARS YAICHAPA ZIMBABWE BAO 1-0 LEO DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-HF7Z9kFs6TA/U3jplmoqJKI/AAAAAAABhjY/oM-oEr6ypRc/s1600/Samatta.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-187ap70j88o/U3jpnwv8R3I/AAAAAAABhjg/9OvmyJkghE8/s1600/Ngassa.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCDFAbsMBSxe1lgsHpJ7BiU*TaW8U66dRYYJ0HIMNEiqG3cd14xq7MhRa5WwhtUcBwPsvgi0ci*RV*8KEixO9NNF/STARS.jpg?width=650)
STARS YAICHINJA ZIMBABWE TAIFA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UcL2aFbBQuw/U4ndLvQK29I/AAAAAAAFmuY/lVWygzwNY3w/s72-c/IMG_7088.jpg)
TAIFA STARS kicked out of hotel in Zimbabwe
![](http://1.bp.blogspot.com/-UcL2aFbBQuw/U4ndLvQK29I/AAAAAAAFmuY/lVWygzwNY3w/s1600/IMG_7088.jpg)
This is because the Zimbabwe Football Authority (ZIFA) hosting the team, failed to pay their accommodation, broadcast journalist Ezra Tshisa Sibanda says.
“This is a disgrace and a total failure by those in charge of the football association. I wouldn’t mind the players and technical staff deserting...
9 years ago
BBCSwahili23 Oct
Taifa Stars wanawake kuivaa Zimbabwe
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Hongera Taifa Stars kuing’oa Zimbabwe
TIMU ya Soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilifanikiwa kutinga raundi ya pili ya kupigania nafasi ya kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa Afrika ‘Afcon 2014’ litakalofanyika mwakani...
11 years ago
Michuzi24 May
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Taifa Stars wakijipanga vizuri, wanaweza kuing’oa Zimbabwe
TIMU ya Soka ya Tanzania ‘Taifa Stars,’ Jumapili iliyopita ilianza vizuri kampeni ya kuwania nafasi ya kuwamo katika kundi F, kwa kampeni ya kucheza fainali za Afrika ‘AFCON 2015’ za...
10 years ago
Michuzi28 Mar
MALAWI WAFANYA MAZOEZI CCM KIRUMBA LEO, TAYARI KUKUTANA NA TAIFA STARS KESHO JUMAPILI
Wakibadilishana Mawazo wakati Wachezaji wa Malawi wanajifua mara ya mwisho kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jioni ya leo.
Tiketi za mchezo tayari zimeshaanza kuuzwa katika vituo vya Uwanja wa Nyamagana na uwanja wa CCM Kirumba kwa...
11 years ago
GPLTAIFA STARS, ZIMBABWE ZAINGIZA MIL 63, LIGU KUU TANZANIA BARA KUANZA AGOSTI 24 MWAKA HUU