TAIFA STARS, MALAWI KUKIPIGA JUMANNE MEI 27
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 May
Taifa Stars kukipiga na Swaziland:COCAFA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0ZXUzd3AHik/VCQS5iDHgGI/AAAAAAAGltU/8GqtyhHNMtw/s72-c/TAIFA1.jpg)
TAIFA STARS, BENIN KUKIPIGA JIJINI DAR OKTOBA 12
![](http://3.bp.blogspot.com/-0ZXUzd3AHik/VCQS5iDHgGI/AAAAAAAGltU/8GqtyhHNMtw/s1600/TAIFA1.jpg)
Mechi hiyo itachezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10 kamili jioni. Programu ya Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager kwa ajili ya mechi hiyo itatangazwa baadaye na Kocha Mkuu Mart Nooij.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linaendelea na taratibu nyingine kwa ajili ya mechi...
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Wasomalia kuziamua Taifa Stars, Malawi
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
WAAMUZI kutoka nchini Somalia wamepangwa kuchezesha mechi ya hatua ya awali ya kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi kati ya timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ na Malawi ‘The Flames’ utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam keshokutwa.
Mtandao wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) kuhusu mchezo huo namba 13 kanda ya Afrika, umeonyesha kuwa mwamuzi wa kati atakayepuliza kipenga atakuwa ni Haji Wiish.
Mwamuzi msaidizi namba moja anatarajia kuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zuBl8rReYDk/U4HCvyAZeMI/AAAAAAAFk4c/P7nYGEl2TkY/s72-c/TFF+Logo.jpg)
KIINGILIO TAIFA STARS, MALAWI NI BUKU 5 TU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-zuBl8rReYDk/U4HCvyAZeMI/AAAAAAAFk4c/P7nYGEl2TkY/s1600/TFF+Logo.jpg)
Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni kwa wale watakaokaa kwenye viti vya rangi ya chungwa, bluu na kijani. Kwa upande wa VIP B na C kiingilio kitakuwa sh. 10,000 wakati kwa VIP A itakuwa ni sh. 20,000.
Mechi hiyo itaanza saa 11 kamili jioni ili kutoa fursa kwa washabiki wengi zaidi kuishuhudia kwa vile...
11 years ago
GPLTAIFA STARS, MALAWI UWANJANI DAR
9 years ago
StarTV08 Oct
Taifa Stars yang’ara yailaza Malawi 2-0.
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars imeanza vema mechi ya awali ya kuwania kufuzu kucheza fainali za kombe la dunia 2018 nchini Urussi baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya timu ya tifa ya Malawi The Flames na kuwapa furaha watanzania kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar Es Salaam.
Katika mchezo huo uliokuwa mgumu kwa pande zote Malawi walianza kwa kuibana Stars kunako dakika 15 za mwanzo kwa mashambulizi mengi , kabla ya wenyeji kuzinduka na kuanza kutawala mchezo huo na...
11 years ago
Mwananchi05 May
Malawi yaing’ang’ania Taifa Stars
11 years ago
Michuzi12 May
TAIFA STARS NA ZIMBABWE KUUMANA DAR ES SALAAM JUMAPILI MEI 18
Awali mechi hiyo tulipanga ichezwe Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kwa nia ya kuhakikisha mikoa yote ya Tanzania inapata fursa ya kuwa mwenyeji wa mechi za kimataifa.
Ili Uwanja wa Sokoine uweze kuchezwa mechi za kimataifa za mashindano, Shirikisho la Mpira wa...
10 years ago
Michuzi30 Mar
TAIFA STARS YATOSHANA NGUVU NA MALAWI, JIJINI MWANZA LEO