Taifa Stars kukipiga na Swaziland:COCAFA
Taifa Stars ya Tanzania imeendelea na mazoezi katika uwanja wa Olympia Park kujiandaa na mchezo wa fungua dimba dhidi Swaziland.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi24 May
10 years ago
TheCitizen16 Nov
Heads up as Taifa Stars play Swaziland side
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0ZXUzd3AHik/VCQS5iDHgGI/AAAAAAAGltU/8GqtyhHNMtw/s72-c/TAIFA1.jpg)
TAIFA STARS, BENIN KUKIPIGA JIJINI DAR OKTOBA 12
![](http://3.bp.blogspot.com/-0ZXUzd3AHik/VCQS5iDHgGI/AAAAAAAGltU/8GqtyhHNMtw/s1600/TAIFA1.jpg)
Mechi hiyo itachezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10 kamili jioni. Programu ya Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager kwa ajili ya mechi hiyo itatangazwa baadaye na Kocha Mkuu Mart Nooij.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linaendelea na taratibu nyingine kwa ajili ya mechi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-C-Gw1ZI5QzA/VVkO02PtNqI/AAAAAAAHX1U/xa9fZIRjY9E/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Taifa Stars yaendelea kujifua tayari kwa kuwakabili Swaziland
![](http://4.bp.blogspot.com/-C-Gw1ZI5QzA/VVkO02PtNqI/AAAAAAAHX1U/xa9fZIRjY9E/s640/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XwnFGVLEFXw/VVkOz_K0OBI/AAAAAAAHX1I/68FBFjtnPpM/s640/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FQCz2EQNRTM/VVkO1MvBzMI/AAAAAAAHX1M/KmOeszJ7oc4/s640/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDBzkGYYWT8XVVp*r-VsZqIH4yA7hlFbeUoQ6XGyvJsactJE8GjiyuaxH1zP3GtgKUtvsTIaw8CevxYm7zjbIYo6/B15ERMN0768.jpg?width=600)
TAIFA STARS YAANZA VIBAYA COSAFA, YAFUNGWA NA SWAZILAND BAO 1-0
10 years ago
Dewji Blog07 Nov
Stars watakaoivaa Swaziland watajwa
Na Mwandishi wetu
Kocha mkuu wa Taifa stars Mart Nooij (pichani) ametangaza kikosi cha wachezaji 24 kwa ajili ya mechi ya kalenda ya shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu FIFA dhidi ya Swaziland itakayochezwa Novemba 16 mwaka huu jijini Mbabane.
Akizungumza jijini Dar es salaam Nooij amesema kikosi hicho kitaingia kambini novemba 10 mwaka huu na kitafanya mazoezi kwenye uwanja wa Gymkhana.
Amesema kuwa Novemba 11 mwaka huu Taifa Stars itaondoka kwenda afrika kusini ambapo itaweka...
10 years ago
TheCitizen12 Nov
Stars’ Samatta, Ulimwengu for Swaziland date
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Stars vitani kusaka heshima kwa Swaziland leo