Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stars vitani kusaka heshima kwa Swaziland leo

Taifa Stars inashuka uwanjani leo kuikabili Swaziland katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki utakaofanyika kwenye Uwanja wa Samhololo, Mbabane nchini humo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Simba kusaka heshima Kaitaba leo

Kikosi cha Simba SC kikijiandaa siku ya jana kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba kucheza leo dhidi ya Kagera Sugar. Na Ibrahim Mussa
HATUA ya lala-salama ya mzunguko wa pili wa  Ligi Kuu Bara inaendelea leo kwa mechi mbili ambapo Kagera Sugar itaikaribisha Simba kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba. Mechi nyingine itakuwa kati ya Mbeya City ambayo itakuwa mgeni wa Ashanti United kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo...

 

10 years ago

Michuzi

Taifa Stars yaendelea kujifua tayari kwa kuwakabili Swaziland

Kocha mkuu wa Timu ya Taifa (Taifa Stars), Mart Nooij akiendelea kuwafua vijana wake ikiwa ni muendelezo wa mazoezi katika uwanja wa Royal Bafokeng kujiandaa na mchezo wa fungua dimba dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland, utakaopigwa jioni ya leo Mei 18,2015.Wachezaji wa timu ya Taifa (Taifa Stars) wakiendelea kujifua katika uwanja wa Royal Bafokeng kujiandaa na mchezo wa fungua dimba dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland, utakaopigwa jioni ya leo Mei 18,2015.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam kusaka heshima

Baada ya kunyukwa wiki iliyopita Yanga na Azam leo watajiuliza upya mbele ya timu za Tanga, Mgambo Shooting na Coastal Union wakiwa katika viwango vya juu zaidi msimu huu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Stars watakaoivaa Swaziland watajwa

IMG_7000

 

Na Mwandishi wetu

Kocha mkuu wa Taifa stars Mart Nooij (pichani) ametangaza kikosi cha wachezaji 24 kwa ajili ya mechi ya kalenda ya shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu FIFA dhidi ya Swaziland itakayochezwa Novemba 16 mwaka huu jijini Mbabane.

Akizungumza jijini Dar es salaam Nooij amesema kikosi hicho kitaingia kambini novemba 10 mwaka huu na kitafanya mazoezi kwenye uwanja wa Gymkhana. 

Amesema kuwa Novemba 11 mwaka huu Taifa Stars itaondoka kwenda afrika kusini ambapo itaweka...

 

10 years ago

TheCitizen

Stars’ Samatta, Ulimwengu for Swaziland date

>National soccer team, Taifa Stars, have got a morale booster ahead of their international friendly against Swaziland on Sunday following the recovery of the two Tout Puissant (TP Mazembe) of Democratic Republic of Congo (DRC) strikers, Mbwana Samatta and Thomas Ulimwengu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Taifa Stars kukipiga na Swaziland:COCAFA

Taifa Stars ya Tanzania imeendelea na mazoezi katika uwanja wa Olympia Park kujiandaa na mchezo wa fungua dimba dhidi Swaziland.

 

10 years ago

TheCitizen

Heads up as Taifa Stars play Swaziland side

The national soccer team, Taifa Stars, today play against Swaziland‘s Sihlangu Semnikati (King’s Shield) in an international friendly match at Somhlolo National Stadium in Mbabane.

 

10 years ago

GPL

TAIFA STARS YAANZA VIBAYA COSAFA, YAFUNGWA NA SWAZILAND BAO 1-0

Beki wa timu ya taifa, Taifa Stars, Shomari Kapombe (kulia) akichuana na mchezaji wa Swaziland kwenye mchezo wao wa jana uliopigwa kwenye Uwanja wa Royal Bafokeng Sports Palace katika michuano ya Cosafa inayoendelea huko Afrika Kusini. Stars ilifungwa bao 1-0. Straika wa Stars, John Bocco akiruka hewani kuwania mpira na mchezaji wa Swaziland.… ...

 

11 years ago

Mtanzania

Stars yaenda Afrika Kusini kusaka makali

Timu ya Taifa, Taifa Stars

Timu ya Taifa, Taifa Stars

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, imeondoka jana kuelekea Afrika Kusini kujiandaa na mchezo wake wa marudiano dhidi ya Msumbiji, utakaochezwa Agosti 3 katika Uwanja wa Zimpeto, mjini Maputo.

Stars imeondoka huku ikiahidi ushindi kwa Watanzania katika mchezo huo wa kusaka kucheza hatua ya makundi ya michuano ya Afrika, itakayofanyika mwakani nchini Morocco.

Awali Stars ilitoka sare ya 2-2 na Msumbiji katika mchezo wake wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani