Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga, Azam kusaka heshima

Baada ya kunyukwa wiki iliyopita Yanga na Azam leo watajiuliza upya mbele ya timu za Tanga, Mgambo Shooting na Coastal Union wakiwa katika viwango vya juu zaidi msimu huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Yanga, Azam kusaka ufalme wa Ligi

1*Simba yatafuta pa kutokea kwa Stand baada ya kipigo

NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

VIGOGO wa soka nchini, Yanga na Azam FC, leo watashuka dimbani katika viwanja tofauti kuendeleza dozi ya vipigo katika michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara, huku majeruhi, Simba wakisaka pointi muhimu zitakazorejesha heshima baada ya kipigo kutoka kwa watani wao wa jadi.

Vinara wa ligi hiyo, Yanga, wanafukuzana na Azam kwenye msimamo wa ligi, wakiwa na pointi 12, baada ya kucheza mechi nne, lakini...

 

11 years ago

GPL

Simba kusaka heshima Kaitaba leo

Kikosi cha Simba SC kikijiandaa siku ya jana kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba kucheza leo dhidi ya Kagera Sugar. Na Ibrahim Mussa
HATUA ya lala-salama ya mzunguko wa pili wa  Ligi Kuu Bara inaendelea leo kwa mechi mbili ambapo Kagera Sugar itaikaribisha Simba kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba. Mechi nyingine itakuwa kati ya Mbeya City ambayo itakuwa mgeni wa Ashanti United kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo...

 

10 years ago

Mwananchi

Stars vitani kusaka heshima kwa Swaziland leo

Taifa Stars inashuka uwanjani leo kuikabili Swaziland katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki utakaofanyika kwenye Uwanja wa Samhololo, Mbabane nchini humo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam kuanza kusaka makali ya Ligi Kuu Jumatatu

KIKOSI cha mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC, kinatarajiwa kuanza mazoezi kesho kuelekea msimu ujao ambapo itakuwa ikitetea taji hilo na kuiwakilisha nchi katika Ligi ya Mabingwa Afrika....

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga SC kusaka makali Ulaya

Mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga wanajiandaa kwenda Ureno ambako wataweka kambi ya maandalizi ya mashindano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame), Ligi Kuu Tanzania Bara na ile ya Mabingwa Afrika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga kusaka makali Barcelona

KLABU ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake Yusuf Manji, imepanga kuipeleka timu nchini Hispania kujifua kwa raundi ya pili ya Ligi Kuu itakayoanza Januari 22 na Ligi ya Mabingwa Afrika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba, Yanga heshima

WATANI wa jadi wa soka la Tanzania, Simba na Yanga, jana  walitunziana heshima baada ya kufunga msimu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa sare ya bao 1-1 katika...

 

11 years ago

GPL

YANGA, SIMBA HESHIMA

Mrisho Ngasa. Na Khadija Mngwai
LIGI Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kufikia tamati kesho Jumamosi kwa timu zote 14 kushuka uwanjani, gumzo la mechi ya Yanga dhidi ya Simba limeendelea kuwa kubwa licha ya kuwa matokeo ya mechi hiyo hayawezi kubadili chochote katika msimamo.…

 

5 years ago

Michuzi

MJUMBE WA YANGA APATA SHAHADA YA UZAMIVU (PHD) YA HESHIMA

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii

Mjumbe wa Kudumu wa Klabu ya Yanga Thobias Lingalangala ametunukiwa shahada ya uzamivu (PHD) na shirika la lead Impact la nchini Marekani.

Lingalangala amepatiwa shahada hiyo baada ya kujitoa na kuwasaidia jamii katika masuala mbalimbali ikiwemo kujenga mradi mkubwa wa maji unaohudumia wakazi wa Njombe.

Akizungumza baada ya kutunukiwa Shahada hiyo, Lingalangala amesema kuwa hakujua kama anaweza akapata shahada kutokana na kazi mbalimbali za kijamii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani