Yanga, Azam kusaka heshima
Baada ya kunyukwa wiki iliyopita Yanga na Azam leo watajiuliza upya mbele ya timu za Tanga, Mgambo Shooting na Coastal Union wakiwa katika viwango vya juu zaidi msimu huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Yanga, Azam kusaka ufalme wa Ligi
*Simba yatafuta pa kutokea kwa Stand baada ya kipigo
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
VIGOGO wa soka nchini, Yanga na Azam FC, leo watashuka dimbani katika viwanja tofauti kuendeleza dozi ya vipigo katika michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara, huku majeruhi, Simba wakisaka pointi muhimu zitakazorejesha heshima baada ya kipigo kutoka kwa watani wao wa jadi.
Vinara wa ligi hiyo, Yanga, wanafukuzana na Azam kwenye msimamo wa ligi, wakiwa na pointi 12, baada ya kucheza mechi nne, lakini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNZJhdsJRTUQo4j4iEUd*McmO4RgisPq3efOW9XW2vLraNPZvSDWeBqN5y-uzll7c6ZI5stWu4a5NXBKIiafPhF0/simba.jpg?width=650)
Simba kusaka heshima Kaitaba leo
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Stars vitani kusaka heshima kwa Swaziland leo
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Azam kuanza kusaka makali ya Ligi Kuu Jumatatu
KIKOSI cha mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC, kinatarajiwa kuanza mazoezi kesho kuelekea msimu ujao ambapo itakuwa ikitetea taji hilo na kuiwakilisha nchi katika Ligi ya Mabingwa Afrika....
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Yanga SC kusaka makali Ulaya
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Yanga kusaka makali Barcelona
KLABU ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake Yusuf Manji, imepanga kuipeleka timu nchini Hispania kujifua kwa raundi ya pili ya Ligi Kuu itakayoanza Januari 22 na Ligi ya Mabingwa Afrika...
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Simba, Yanga heshima
WATANI wa jadi wa soka la Tanzania, Simba na Yanga, jana walitunziana heshima baada ya kufunga msimu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa sare ya bao 1-1 katika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwnQ4mZoU3GZR5Hz4XN48HkNNqOb6Mz68b*8YO*JOiad1SrPkgnp583Lzq4XbaTrS*KV7njZ2fQegntOrsq3gcYu/33.jpg?width=650)
YANGA, SIMBA HESHIMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9lZvB0jN1jc/XlFNROCmfNI/AAAAAAACBek/lZ2IzxIYHhEbazR2FR8njROqg-mPk6riwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200222-WA0064.jpg)
MJUMBE WA YANGA APATA SHAHADA YA UZAMIVU (PHD) YA HESHIMA
Mjumbe wa Kudumu wa Klabu ya Yanga Thobias Lingalangala ametunukiwa shahada ya uzamivu (PHD) na shirika la lead Impact la nchini Marekani.
Lingalangala amepatiwa shahada hiyo baada ya kujitoa na kuwasaidia jamii katika masuala mbalimbali ikiwemo kujenga mradi mkubwa wa maji unaohudumia wakazi wa Njombe.
Akizungumza baada ya kutunukiwa Shahada hiyo, Lingalangala amesema kuwa hakujua kama anaweza akapata shahada kutokana na kazi mbalimbali za kijamii...